Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Zaidi ya 95% ya ndoa wanaosumbua ni wanaume.
Hili swala linahitaji utafiti zaidi, mimi naamini matatizo au mafanikio ya ndoa yanachangiwa kiasi sawa sawa kutoka kwa pande zote.

Hivi kwanini estimations nyingi ni 90%, 95% na 99%?
 
Hili swala linahitaji utafiti zaidi, mimi naamini matatizo au mafanikio ya ndoa yanachangiwa kiasi sawa sawa kutoka kwa pande zote.

Hivi kwanini estimations nyingi ni 90%, 95% na 99%?
Estimations nyingi kama zipi kwa mfano?
 
Wadada wote are positive wakati wa uchumba, she may be saying the truth or just impressing you!
 
yap mkuu hata mimi hilo hilo swali nimemuuliza mchumba wangu but through the fone kanambia ni laki saba

Wadada wote are positive wakati wa uchumba, she may be saying the truth or just impressing you!
 
Nimepitia majibu ya huu uzi. Hawa ndio wake zetu sasa hivi, mama wa watoto wetu. Ana 700k mumewe ana 200k yuko radhi watoto wake waishi level ya 200k na 700k akafanye mambo yake.

Mama yangu mimi angetoa 700k yote kwa ajili ya familia.
Hii ni generation nyingine mkuu, lakini na nyinyi mkiona wazuri wamependeza barabarani shingo feni wakati mkeo yuko pembeni, hamuoni kuwa mnayasababisha haya?
 
Hii ni generation nyingine mkuu, lakini na nyinyi mkiona wazuri wamependeza barabarani shingo feni wakati mkeo yuko pembeni, hamuoni kuwa mnayasababisha haya?
Sasa wewe kuminya mshahara wako wote na mimi kuangalia neema za Allah kunahusiana nini?
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
kipato cha familia hapo ni laki mbili tu na budget yake ya kusuka ipo humo humo kwenye hio laki mbili
 
Wana forum kwa mtazamo wa wanawake wacha Mungu kipato cha familia ni 700000
Ikiwa ukimpata mkeo kwa akilizo mwenyewe basi swali hili litaleta mjadala ila ikiwa ni the COMPATIBLE that was sent to you from heaven its the same
 
Wana forum kwa mtazamo wa wanawake wacha Mungu kipato cha familia ni 700000
Ikiwa ukimpata mkeo kwa akilizo mwenyewe basi swali hili litaleta mjadala ila ikiwa ni the COMPATIBLE that was sent to you from heaven its the same

Wanawake wa siku hizi hata wacha mungu hawasomeki
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Jumla ni laki mbili kwenye matumizi ya familia, mwanamke hata kama Ana million wewe Una 50,000/= ni lazima utoe hela ya matumizi kwaajili ya familia
 
Back
Top Bottom