Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

Nimepitia majibu ya huu uzi. Hawa ndio wake zetu sasa hivi, mama wa watoto wetu. Ana 700k mumewe ana 200k yuko radhi watoto wake waishi level ya 200k na 700k akafanye mambo yake.

Mama yangu mimi angetoa 700k yote kwa ajili ya familia.
 
Kipato halisi kinategemea uhusiano ulivyo kati ya awo wawili
 
Nimepitia majibu ya huu uzi. Hawa ndio wake zetu sasa hivi, mama wa watoto wetu. Ana 700k mumewe ana 200k yuko radhi watoto wake waishi level ya 200k na 700k akafanye mambo yake.

Mama yangu mimi angetoa 700k yote kwa ajili ya familia.

Mama zetu hawakuharibiwa na shule hizi za Instagram na watsaap groups
 
Nimepitia majibu ya huu uzi. Hawa ndio wake zetu sasa hivi, mama wa watoto wetu. Ana 700k mumewe ana 200k yuko radhi watoto wake waishi level ya 200k na 700k akafanye mambo yake.

Mama yangu mimi angetoa 700k yote kwa ajili ya familia.
Na bado hapo sasa ukute umeoa msomi,na budget ya kukufunga ukimzingua anaitoa hapohapo kwenye laki tano yake!
 
Mke wangu Mtumishi wa Umma. Na Mimi mtumishi wa umma. Miaka yote ya ndoa, tukijadili Budget ya familia huwa tunazungumzia pesa zangu tu.
 
Kipato cha familia ni laki saba.Hayo ya pesa ya nani inafanya kitu gani inategemea familia na familia.Hili swali huwa tunaliuliza tunapofanya "HOUSEHOLD BUDGET SURVEY" na kwa case hii pato la familia ni 700k.
 
Nimepitia huu uzi nimeaikitika sana,sijajua kama hizi coments za wanaume ni za kweli au wanaongea tu kwa sababu kuna jinsi wanavyotuchukulia, mwanaume anaweza kutelekeza familia lakibi sio mwanamke, hata atelekezwa na watoto kumi there is no way atakuabali kuwaacha watoto wafe njaa,she will fight hata kwa kuuza vitumbua watoto wale,na wanawake wengi zama hizi wanabeba familia zao na pia maisha yamebadilika,majukumu ya familia yanachangiwa na wote baba na mama,wakati mwingine hata hujui pesa ya mume imepitia wapi ila maisha yanasonga na hakuna kinachopungua kwenye familia,nadhani hii inatokana na misingi ya familia yenu mliyoijenga tangu mlipoingia kwenye ndoa,ila kamamwanaume ulimzoeza mke kuwa tegemezi kwa kial kitu usitegemee kwamba leo unaweza kumshawishi achangie kipato cha familia maana sio misingi uliyomjengea

Kwa hiyo wanaume mtuache jamani,ur coments are too negative compared to reality
Hao ndio wanaume wa jf, wake zao hawana jema kabisaa.
Wengine ukute wanalelewa kabisa na wake zao ila wakiingia humu kazi ni moja tu kuponda wanawake.

Tunayoyashuhudia huku mtaani ni tofauti kabisaa na wanavyokazana kuamiisha watu humu, familia nyingi zimebebwa na wanawake.
 
jamani mi ni mwanamke na nimeolewa, sio wanawake wote wanatabia hiyo kwenye familia yangu hiyo ni laki 7. kama mume wangu anapesa ya ziada namuomba anipe nikasuke n. k ninapenda kila kipato ninachopata nishirikiane na mume wangu kukifanyia maamuzi. Ila siku nikijua mume anamchepuko hahahhaaaaa zoezi litaishia hapo, badala ya laki 7 itakuwa 2.
Na kwakweli hapo ndipo taabu inapoanziaga, kwakweli michepiko ikianza lazima mahesabu yabadilike, tena ni kuyabana hadi akili ikae sawa.

Hiyo laki2 itabidi inunue hadi pilipili.
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Nakuhakikishia hapo kipato ni laki mbili, yaani wanawake wanajijua wenyewe na Mungu wao, hela zao ni zao na zako ni za familia, ndiyo maana ukujenga nyumba halafua ukaoa, atafika anasema ni nyumba yake. Mkiwa na mtoto, ukimgusa utaskia usiniulie mtoto na blah blah kibao.
 
Nakuhakikishia hapo kipato ni laki mbili, yaani wanawake wanajijua wenyewe na Mungu wao, hela zao ni zao na zako ni za familia, ndiyo maana ukujenga nyumba halafua ukaoa, atafika anasema ni nyumba yake. Mkiwa na mtoto, ukimgusa utaskia usiniulie mtoto na blah blah kibao.

Haha na ukimpa talaka nyumba mnauza mgawane pesa
 
Kipato cha familia ni laki saba.Hayo ya pesa ya nani inafanya kitu gani inategemea familia na familia.Hili swali huwa tunaliuliza tunapofanya "HOUSEHOLD BUDGET SURVEY" na kwa case hii pato la familia ni 700k.
Tofautisha SURVEY na NYUMBANI.
 
Kwanini laki tano za mama sio za familia?
Hizi ni zaidi ya familia.......

Itagawanywa sehemu 4

1.Yeye (mke binafsi)
2. Itatumika kukava vitu vidogovidogo home
3. Itatumika familia yake (aliyotoka ie Wazazi)
4. Itatumika kwa familia uliyotola ie wazazi wako
5 happ ujajumlisha kichen parti...vikoba....sare za shule.....

Yaani usiihesabie kabisa
 
Kwa wanandoa wanaojielewa,kipato cha familia ni laki saba. Kwa walioingia kwenye ndoa kwa kukurupuka,kipato cha familia ni laki mbili.
 
Back
Top Bottom