Kipatao kinaweza kuwa chini ya 200,000 ulizonazo maana mwanamke na zako anazitaka.KIPATA CHA FAMILIA NI LAKI MBILI MAANA ATA IYO LAKI TANO HUWEZI KUIJUA MAANA KWA KUIFICHA HAWAJAMBO HAWA WANAWAKE ZETU
Then mkiji mnasema.mnataka mwanamke anayejali. Kiujumla tuna wake lakini walio wengi ni wabinafsi. Ni bora mwanaume uweke wazi sehemu ya kipato na nyingine haitakiwi kujulikana maana utaleta expectations za matumizi ya hela uliyonayo ma mara nyingi interest kunwa zikiwa ni za ke.thubutuuu!!!! unajumlisha za nani na nani?
Sehemu kubwa ya vipato vya wanawake zinatumika kwenye mambo ya show off off asidharaulike kwe wenzie. Hiyo ndo weakness kubwa ya wanawake. Kama kipo ni kiasi kidogo kitachangia ustawi wa familia. Na wao ndo walamamishi wakubwa wa hiki na hiki hakipo.Kwanini wanawake harusi...na kitchen party wanazijali kuliko familia?
Pamoja na pesa yao kutoonekana unakuta kaleta ndugu zake kibao kwako na anatala uwasaidie. Wao huamini za mwanaume ndo pesa a zao ni karatasi.Kama hujaoa,hongera sana. Wanawake hawafai yaani pesa zao hazionekani kabisa.
hiyo ni dunia tofauti na hii tuliyopo!Kwangu mimi familia ina Milioni 5 na laki 2






Familia ina laki 2 plus madeni kibao!Naomba majibu yenu wandugu maana nimeitoa sehemu na majibu ya swali yalikuwa magumu sana hivyo mlioweza kuoa au kuolewa mnijibu