Swali la weekend kwa wanafamilia...

By the way umenikumbusha Prof wangu mmoja!
YEYE HUWA ANASEMA KITANDANDA CHAKE KINALALIWA NA DEGREE SABA
4 zake
3 za mkewe!
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
kipato cha familia ni laki mbili maana mwanamke akiwa na pesa anaita zake na zakwako anaita zenu hivyo mtakua na shilingi laki mbili tu
 
Kwa uzoefu wangu hapo ni laki mbili maana wakina mama kuchangia matumiz ya familia wanaona sio lazima,ikitokea kachangia chochote anakua kama kakopwa.Ni wanawake wachache sana wanaoweza kua na nafsi yakuchangia maendeleo ya familia bila kua na roho yaubinfsi.Hiyo ni sawa nakukuta mwanamke mwenye kipato kikubwa au msomi zaid ya mumewe na akawa hana maneno maneno kwa mumewe.Wengi wao ikiwa ivyo lazima uisome namba kwa herufi kubwa.
Hivi kwanini matumizi ya mwanamke hayahesabiwi kama matumizi ya familia? Akienda kusuka mbinafsi, Akienda shopping ya viatu vya kazini mbinafsi.. kwani matumizi ya familia ni yapi? Mwanaume akihonga aah halali.. Akienda kujiburudisha bar halali. Ila mwanamke akifanya hivyo mbinafsi.. kwanini?
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Kama familia mtakuwa na laki 7 au laki 2 kwa kutegemea umoja wenu kati ya mke na mume ni wa aina gani. Kama umeoa mwanamke ambaye wewe na yeye ni wamoja, basi mtakuwa na laki 7. Kama umeoa mwanamke ambaye ni mbinafsi basi kipato chenu ni kile cha mwanaume.
Kuwa familia kunatia ndani kupendana, kuaminiana, kueshimiana na kuwa wawazi kwa kila kitu. Kwa mfano, mimi na make wangu wote tunafanya kazi na yeye anakipato kikubwa kuliko mimi, lakini kinachopatikana kinakwenda kwenye account moja na yeyote anapohitaji pesa kwa matumizi fulani lazima tuwasiliane. Kwahiyo, tumejikuta tunapendana zaidi na tuna aminiana maana hakuna siri. Kama wazazi wetu wanaitaji pesa lazima tukubaliane wapatiwe kiasi gani. Hii imeleta amani hamna mgawanyiko kwenye fedha. Umoja kwa kila jambo kwenye familia ni nguvu. Kupenda pesa sana ni chanzo cha mabaya mengi, kwahiyo kama familia umoja ni muhimu sana kama mtakuwa wawazi na kujumuisha vipato vyenu.
 
thubutuuu!!!! unajumlisha za nani na nani?
Sasa iyo ni according to you coz kuna wanawake wanakaa na waume zao wanaowazd mishahara na wanashirikiana equally katika masuala ya maendeleo ya familia eg ujenz, kusomesha watoto etc na bado wanawaheshim waume zao. Ila kwa nyie mabint wa dot com mna shida na wengi hamdum na wanaume coz mnajal sna maslah (unamheshim mtu coz anakuzd pesa). Kwa sie wakristu hta biblia imesema wanandoa ni kitu kimoja.
KIPATA CHA FAMILIA NI LAKI MBILI MAANA ATA IYO LAKI TANO HUWEZI KUIJUA MAANA KWA KUIFICHA HAWAJAMBO HAWA WANAWAKE ZETU
 
Kipato cha familia ni laki mbili ambazo mwanaume anamiliki .
Maana pesa ya mwanamke haihesabiki kwa sababu wao ni wasiri mno.
 
Mimi ni observer wa yanayotokea, nawaona jinsi watu wanavyohangaika na misalaba yao wanayoita pingu za maisha.....ndoa zenye furaha ni chache mno,....nyingi ni matatizo matupu.

Si kwenye mgawanyo wa vipato wala uaminifu, kila part ya ndoa ni vurugu tupu.....Kwangu sidhani kama ndoa ni sehemu salama.
Zaidi ya 95% ya ndoa wanaosumbua ni wanaume.
 
Back
Top Bottom