erasto mrishayo
Senior Member
- Oct 16, 2015
- 157
- 79
Kipato cha familia ni laki mbili tu coz wanawake hata siku moja hela yao haitumiki
Ndg yangu ukiona umeiona hela ya mwanamke basi huyo ana hofu ya mungu sana pia na wewe ni mwaminifu kwake asilimia zoteKwanini laki tano za mama sio za familia?
Wewe mwanaume una laki mbili
Na mkeo ana laki tano....
Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?
Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..
hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Kipato ni sh laki mbili wanawake sisi chako ni changu,changu ni changu..Wewe mwanaume una laki mbili
Na mkeo ana laki tano....
Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?
Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..
hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Samahani kwa kutoka nje ya mada,charmilton huwa unapinga sana uwepo wa Mungu hiyo#nature#vipiHiyo ni special & abnormal case.
Kwenye familia mwanaume ni family protector & provider na mwanamke ni nest defender......sasa kama kuna mwanaume anahongwa na mwanamke hiyo ni kinyume na nature.
Nature ni kila kitu kilichopo.Samahani kwa kutoka nje ya mada,charmilton huwa unapinga sana uwepo wa Mungu hiyo#nature#vipi
Wewe mwanaume una laki mbili
Na mkeo ana laki tano....
Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?
Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..
hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Kwasababu baba ndie kichwa ya Familia. Ukikata kichwa hakuna maisha ila Ukikata mkono maisha yanaendeleaKwa nini lakini iko hivi?