Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

laki 2,ikibidi nakopa katika laki 5 lakini lazima nirudishe....sina familia
 
Msingekua mnaangalia waliopendeza mkiwa barabarani wala tusingekuwa na pressure ya kuwa na vitu vizuri na sisi.
 
Mbona hujasema lolote kuhusu comments za wanawake waliosema pesa ya familia ni ya mume tu
yao ni ya binafsi
Ndio maana nilisema mwanzo kwamba inategemea na mwanamke pamoja na misingi ya familiaambayo mwanaume amemjengea tangu mwanzo
 
Hao ndio wanaume wa jf, wake zao hawana jema kabisaa.
Wengine ukute wanalelewa kabisa na wake zao ila wakiingia humu kazi ni moja tu kuponda wanawake.

Tunayoyashuhudia huku mtaani ni tofauti kabisaa na wanavyokazana kuamiisha watu humu, familia nyingi zimebebwa na wanawake.
Kabisaa,nitoe tu kamfano kadogo kwa ofisi ninayofanya kazi NGO wadada karibu wote ndo wanaobeba familia kwa kiasi kikubwa,tena wengine wanalalamia hela ya mume ni ya baa tu kuhusu nyumbani ni kazi ya mama

Halafu leo wanakaa hapa kunyanyua midomo kuwasema wake zao, au pengine wake zao ni waleee vigodoro type
 
Kila familia ina principles zake kwenye mambo ya fedha.

Kama inatumika principle ya chake (mwanamke) ni chake. Chako ni chenu. Hapo familia ina laki mbili.

Kama inatumika principle ya chake ni chenu na chako ni chenu, hapo familia ina laki saba.
 
Trust ME,
Kipato cha familia ni laki 2.
Mbali na hapo AMANI haitakuwepo.
 
Hela ya familia ni elfu thelathini hapo maana hizo nyingine zote zitaenda kwa huyo huyo mwanamke kwa kutumia njia ya kijasusi.
 
Kabisaa,nitoe tu kamfano kadogo kwa ofisi ninayofanya kazi NGO wadada karibu wote ndo wanaobeba familia kwa kiasi kikubwa,tena wengine wanalalamia hela ya mume ni ya baa tu kuhusu nyumbani ni kazi ya mama

Halafu leo wanakaa hapa kunyanyua midomo kuwasema wake zao, au pengine wake zao ni waleee vigodoro type
Tutafanyaje sasa na ndio wanaume zetu hawa, wanatuhesabia mabaya tu hatuna mema.
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Hapo kipato cha familia ni laki mbili tu.. 200000/=
 
Kila familia ina principles zake kwenye mambo ya fedha.

Kama inatumika principle ya chake (mwanamke) ni chake. Chako ni chenu. Hapo familia ina laki mbili.

Kama inatumika principle ya chake ni chenu na chako ni chenu, hapo familia ina laki saba.

Kila familia ina kanuni zake
lakini uzoefu ndo tunataka ku share hapa
 
Pesa ya familia hapo ni laki mbili kutokana na kwamba ndio pato la baba,

Hizi 50/50 zinazogombea nakutungiwa sheria nyingi hazi apply kwenye kipato cha baba na mama,
 
Kila familia ina principles zake kwenye mambo ya fedha.

Kama inatumika principle ya chake (mwanamke) ni chake. Chako ni chenu. Hapo familia ina laki mbili.

Kama inatumika principle ya chake ni chenu na chako ni chenu, hapo familia ina laki saba.
Umesema vizuri, kila familia ina principles zake. Kuna wa 50/50, lakini pia wapo wa mume chake na mke chake, kuna wa kipato chote ni cha familia.

Ni experiences tofauti tu....sadly though, wanawake wengi sasa ndio bread winners!!
 
Back
Top Bottom