Swali la weekend kwa wanafamilia...

Swali la weekend kwa wanafamilia...

kipato cha familia hapo inategemea na tabia za wote wawili katika matumiz ya pesa bana kama baba mjinga mjinga kipato ni laki mbili kama kichwani zimo kwanini isiwe laki 6 bwaana hiyo nyingine kwa kweli ya mikoba, madela na salunii nsije kupauka nkakimbiwa miyeee😛
 
Kwa majibu haya humu, nashukuru mke niliyenaye ni wa kitofauti sana maana naelewa a-z kipato mpaka passcode za atm na life goes on with no prigosh.

Kama hamsaidiani bora uishi pekee tu huku ukikodi mdada na kumpa mimba kisha mnaishiana mtoto akizaliwa.

Lucky you
 
Kuna mwanamke mmoja alikuwa mfanyabiashara kkoo mikopo kibao mara china mara uganda faida anayopata yake kila kitu chake mumewe hapati kitu nyumba anajenga mwanaume ndo anakomaa alikopa hadi 50ml kakomaaa mara biashara ikawa ngumu access wanataka chao full kudata ndo akajirud kwa mumewe ...duka limekufa hana hela jamaa now ndo anakomaa rejesho la 50 na zaidi..." Kila mwanamke akili yake ni sawa na urefu wa shimo lake"

Shangoo mwana kulyamba.

Hahaaa urefu wa nini?
 
Ooh darling, I love you too....

I love you so much Smart...

You are the one and only for me....

You are my everything. ....

Hii sio thread yenu
hapa tunajadili pato la familia....🙂
 
Wewe mwanaume una laki mbili

Na mkeo ana laki tano....

Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?


Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..

hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
kwa kifupi familia ina laki 2 infact kati ya hiyo laki 2 utaombwa hela ya Manjano make up, alafu na umeme umeisha! ha!
 
Back
Top Bottom