Ilikua ni zamani, kwa sasa km mwanamke anakubali kukusaidia majukum shukuru mungu
Ni laki mbili tu....no mjadalaWewe mwanaume una laki mbili
Na mkeo ana laki tano....
Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?
Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..
hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Wewe mwanaume una laki mbili
Na mkeo ana laki tano....
Swali ni hili...hapo kipato cha familia hapo ni kiasi gani?
Nimeikuta watsap groups imeleta ubishani..
hebu wana MMU tutajie majibu kwa mujibu wa uzoefu wako...
Sasa anapata ipi wakati sina, yaani asipoiona ni kwamba sinaWe mumeo asipoona hela yako hapati hata robo?
Inategemea na aina ya mwanamke na malezi aliyonayo,kwa experience yangu kwa maisha ya sasa hivi wanawake tuneibeba familia kwa asilimia kubwa kuliko wanaume na kwa kiasi kikubwa tuna mapato makubwa kuliko nyie wanaume na ndio maana unaona hata mwanaume kipato kikiyumba familia bado inabaki stable,hakuna maisha ya kumtegemea mtu mmoja kuendesha famila karne,hiyo ilikua zamani sana na ndio maana na sisi kina mama tunafight kwa kila njia kubuni vyanzo vingi vya income hata kama tumeajiriwa unakuta hukosi kuuza vitenge,vipodozi au hata una kagenge kauokoteza visent vya kununua mbogaKwanini wanawake harusi...na kitchen party wanazijali kuliko familia?
Ni hatari ndiyo kwa sababu wengi wao hawana chembe ya huruma...Kwa huruma tu?
asipokuwa na huruma si hatari?
Inategemea na aina ya mwanamke na malezi aliyonayo,kwa experience yangu kwa maisha ya sasa hivi wanawake tuneibeba familia kwa asilimia kubwa kuliko wanaume na kwa kiasi kikubwa tuna mapato makubwa kuliko nyie wanaume na ndio maana unaona hata mwanaume kipato kikiyumba familia bado inabaki stable,hakuna maisha ya kumtegemea mtu mmoja kuendesha famila karne,hiyo ilikua zamani sana na ndio maana na sisi kina mama tunafight kwa kila njia kubuni vyanzo vingi vya income hata kama tumeajiriwa unakuta hukosi kuuza vitenge,vipodozi au hata una kagenge kauokoteza visent vya kununua mboga
Nimepitia huu uzi nimeaikitika sana,sijajua kama hizi coments za wanaume ni za kweli au wanaongea tu kwa sababu kuna jinsi wanavyotuchukulia, mwanaume anaweza kutelekeza familia lakibi sio mwanamke, hata atelekezwa na watoto kumi there is no way atakuabali kuwaacha watoto wafe njaa,she will fight hata kwa kuuza vitumbua watoto wale,na wanawake wengi zama hizi wanabeba familia zao na pia maisha yamebadilika,majukumu ya familia yanachangiwa na wote baba na mama,wakati mwingine hata hujui pesa ya mume imepitia wapi ila maisha yanasonga na hakuna kinachopungua kwenye familia,nadhani hii inatokana na misingi ya familia yenu mliyoijenga tangu mlipoingia kwenye ndoa,ila kamamwanaume ulimzoeza mke kuwa tegemezi kwa kial kitu usitegemee kwamba leo unaweza kumshawishi achangie kipato cha familia maana sio misingi uliyomjengeaHongera sana kama ni kweli unafanya hivi
Nimepitia huu uzi nimeaikitika sana,sijajua kama hizi coments za wanaume ni za kweli au wanaongea tu kwa sababu kuna jinsi wanavyotuchukulia, mwanaume anaweza kutelekeza familia lakibi sio mwanamke, hata atelekezwa na watoto kumi there is no way atakuabali kuwaacha watoto wafe njaa,she will fight hata kwa kuuza vitumbua watoto wale,na wanawake wengi zama hizi wanabeba familia zao na pia maisha yamebadilika,majukumu ya familia yanachangiwa na wote baba na mama,wakati mwingine hata hujui pesa ya mume imepitia wapi ila maisha yanasonga na hakuna kinachopungua kwenye familia,nadhani hii inatokana na misingi ya familia yenu mliyoijenga tangu mlipoingia kwenye ndoa,ila kamamwanaume ulimzoeza mke kuwa tegemezi kwa kial kitu usitegemee kwamba leo unaweza kumshawishi achangie kipato cha familia maana sio misingi uliyomjengea
Kwa hiyo wanaume mtuache jamani,ur coments are too negative compared to reality