Common Folk
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 878
- 3,920
Mbona kozi zingine za majeshi huwa hamfanyii mitaani, huwa mnaenda kwenye maeneo maalumu yaliyojificha mnafanya kozi zenu huko kimya kimya bila kuleta bughudha kwa raia wa kawaida?
Kwa nini kipindi hiki cha uchaguzi mkuu mnafanya magwaride mtaani, tena mmeungana majeshi yote, na hiyo yote baada ya mgombea wa CCM kutoa tamko kwamba majeshi yako imara?
Jeshi lolote halipaswi kuingilia siasa, bali majeshi yanapaswa kuacha mambo ya kiraia yaendeshwe kiraia, kisha nyie majeshi mtoe ulinzi kwa kila upande.
Kiufupi aliyoyaongea Kapt. Tesha yako relevant openly kuliko tamko la kusema majeshi hayajashiriki siasa wakati tunajionea kila siku mnafanya magwaride mitaani.
Kwa nini kipindi hiki cha uchaguzi mkuu mnafanya magwaride mtaani, tena mmeungana majeshi yote, na hiyo yote baada ya mgombea wa CCM kutoa tamko kwamba majeshi yako imara?
Jeshi lolote halipaswi kuingilia siasa, bali majeshi yanapaswa kuacha mambo ya kiraia yaendeshwe kiraia, kisha nyie majeshi mtoe ulinzi kwa kila upande.
Kiufupi aliyoyaongea Kapt. Tesha yako relevant openly kuliko tamko la kusema majeshi hayajashiriki siasa wakati tunajionea kila siku mnafanya magwaride mitaani.