Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Naona makada na viongozi wa chama tawala wanapigia sana chapuo hii kitu. Kuwa lazima tukope ili kutekeleza maendeleo ya taifa letu . Na pia wanasisitiza kuwa tukisubiri kukusanya mapato ili kutekeleza maendeleo tutachelewa.
Swali je mapato na tozo havikusanywi? Je, hayatoshi?
Je tumeamua kutumia mikopo ili kufanikisha maendeleo haraka? Na kwa nini mikopo?
Swali je mapato na tozo havikusanywi? Je, hayatoshi?
Je tumeamua kutumia mikopo ili kufanikisha maendeleo haraka? Na kwa nini mikopo?