Supa star wa JF

Afu huyu Lizzy hajui mbwa akichezea sana kagodoro anakokalalia mwishowe hukala

we mwache aendelee, hajui Wayne Rooney ana Individual Talent katikati ya uwanja anafunga

Nione nikifanyie ubunifu kiuno chako
 
@Klorokwin mbona hako kampango ka premium kazuri sana, itabidi nizame PM kwa maelezo?
Unajua mie from day one ulivyosema wewe ni lawyer nikajua utanifikisha mbali sana, na kweli. i was not wrong ntaendelea kufuata my intuations/antenas
 
Ma supa star naona mmegeuza topic na kufanya imhusu MTM napenda myuzik alinivutia na hed4nz zake na aliponiambia feel the beat. Toka hapo alinikosha. Ktk supa staz wote waliochangia nampenda preta ktk wote simpend f...est naona kama vile sio kamilfu.
 
Ma supa star naona mmegeuza topic na kufanya imhusu MTM napenda myuzik alinivutia na hed4nz zake na aliponiambia feel the beat. Toka hapo alinikosha. Ktk supa staz wote waliochangia nampenda preta ktk wote simpend f...est naona kama vile sio kamilfu.

heee The Finest
hebu njoo ujibu kesi hapa...
 
Ma supa star naona mmegeuza topic na kufanya imhusu MTM napenda myuzik alinivutia na hed4nz zake na aliponiambia feel the beat. Toka hapo alinikosha. Ktk supa staz wote waliochangia nampenda preta ktk wote simpend f...est naona kama vile sio kamilfu.
Khaaaaa!
 
He he he, the Finest I hate that I hate you
Lizzy pull out ur gun, safisha, na andaa risasi zako
kuna swala anakatiza anga lako.

@mpolee, hukuhitaji kuchafua wengine kufikisha ujumbe wako kwa MTM, not fair ku-express ur feelings at other pipoz expense

Ma supa star naona mmegeuza topic na kufanya imhusu MTM napenda myuzik alinivutia na hed4nz zake na aliponiambia feel the beat. Toka hapo alinikosha. Ktk supa staz wote waliochangia nampenda preta ktk wote simpend f...est naona kama vile sio kamilfu.
 
Ma supa star naona mmegeuza topic na kufanya imhusu MTM napenda myuzik alinivutia na hed4nz zake na aliponiambia feel the beat. Toka hapo alinikosha. Ktk supa staz wote waliochangia nampenda preta ktk wote simpend f...est naona kama vile sio kamilfu.

MTM derseve to be a great thinker, ofcourse MTM is the great thinker...
 
@Klorokwin mbona hako kampango ka premium kazuri sana, itabidi nizame PM kwa maelezo?
Unajua mie from day one ulivyosema wewe ni lawyer nikajua utanifikisha mbali sana, na kweli. i was not wrong ntaendelea kufuata my intuations/antenas

Nina clients kama sita huku sasa hivi na wote kesi zao ni serious, nitakubukia appointment yako, kwavile umeonesha interest nitakuweka kwenye diary
 
Mnataka point kwenye chit chat na udaku na vichekesho.

Sikumoja ntawakuta mnatafuta meno kwenye sehemu zenu chini ya viuno

busy looking for a virgin in a maternity ward.
MTM derseve to be a great thinker, ofcourse MTM is the great thinker...
 
He he he, the Finest I hate that I hate you
Lizzy pull out ur gun, safisha, na andaa risasi zako
kuna swala anakatiza anga lako.

@mpolee, hukuhitaji kuchafua wengine kufikisha ujumbe wako kwa MTM, not fair ku-express ur feelings at other pipoz expense


mumeelewa vibaya nyie. Mlengwa nisamehe sikua na nia mbaya. Naomba msada wa kufuta post wajameni.
 
Back
Top Bottom