mpoleeee
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 310
- 131
Ni vigezo gani wanatumia. Ktk peruz peruz yangu kuna wale nawaona mara kwa mara ila bado sijaona michango yao ya maana. Kuna membaz wana michango ya msingi sana sioni hata mmoja kutajwa. Wale majukwaa ya maana na kujenga kama kule siasa, Tech and gadgets, international forum, habari na hoja mchanganyiko wao sio supa star? Napenda nijuzwe hasa na hao ma super star wenyewe.