Fighter
JF-Expert Member
- Aug 30, 2009
- 615
- 152
Lol! Uchokozi kipaji!
Kweli nilikaona elle tu nafungua kamchina kangu sikaoni tena!!
King'asti kama ulikaona kahedingi kake nikumbushe mwehego nikasechi!
Lol! Uchokozi kipaji!
kuna membaz kama akina Nguruvi, Mkandara, waberoya, Jastropha na wegine hao wachache tu.
@Lizy na The Boss nyie ni moja ya supa star sina hiana yoyote nataka tu kuelewa vigezo hasa ni nini?
unaweza ukaja kuambiwa unaringamimi nakosa raha nikiitwa superstar humu.....
bora niitwe tu member mzoefu....
Lost in transition... What does it have to do with this thread, if I may...
Baadhi ya list ambao hutajwa katika pita pita yangu ni The boss, rejao, faiza foxy, afrodenzi, ashadii, kingasti,mwita25,mr rocky, asprin, nyani njabu, smiles,husnynyo, na wengine kidogo nimewasahau. Wengine nawapata kuitwa supa star mfano faiza foxy mie ndio nilitaka kujua akiwa amefaulu kua mbwabwajikaji,mchakachuaji,mumwaga pweti, kilaza, ndioa anaitwa supa star?Mnapokua wakali badala ya kunijb inakuaje?
Baadhi ya list ambao hutajwa katika pita pita yangu ni The boss, rejao, faiza foxy, afrodenzi, ashadii, kingasti,mwita25,mr rocky, asprin, nyani njabu, smiles,husnynyo, na wengine kidogo nimewasahau. Wengine nawapata kuitwa supa star mfano faiza foxy mie ndio nilitaka kujua akiwa amefaulu kua mbwabwajikaji,mchakachuaji,mumwaga pweti, kilaza, ndioa anaitwa supa star?Mnapokua wakali badala ya kunijb inakuaje?
kaka hainiumi nilikua kyurias. Kuna ubaya kutaka jua?Mi naona hii ni inferiority at its best.
Umaarufu wa mwingine utansumbuaje mie?
Hivi analiwa mwingine mia nikate mauno ya nini?
Kama hujui vigezo vya wao kuwa masupastaa na hujui waliowapa usupastaa kwa nini na wewe usijipe huo ustaa.
Nahisi ni aina ile ya watu ambao huwafuatilia wenzao mgongoni kujua whats happening to them kimya kimya wakifanikiwa unakunywa sumu kimya kimya.
kuanzia leo mpolee nimemteua Celebrity of all jf supastaaz
umenitaja first hapo..
sijui nifanyaje huu 'u superstar' uishe...
ushanichosha kwa kweli
hehehhe King......im lost in translation lol
umenitaja first hapo..
sijui nifanyaje huu 'u superstar' uishe...
ushanichosha kwa kweli
Kweli nilikaona elle tu nafungua kamchina kangu sikaoni tena!!
King'asti kama ulikaona kahedingi kake nikumbushe mwehego nikasechi!
Mpaka sasa hivi sijafamu nia yako ya kuanzisha hii thread. Watu kama nyie ndio mnafanya watu waonekane masupa star. But sidhani kama hiyo teminology ya usupastar ni approriete kutumika hapa. Memberz wengi wanakuwa identified kiurahisi kutokana na the way walivyo unique na interaction yao na other members.
nimekutaja wa kwanza sbb napenda avata yako. Sina maana unanivutia sbb mm navutiwa na MTM. Na sijafuata ubora, kiubora ina mana hao wadada nimekosea kuwapanga kasoro faiza foxy.