Kiziza
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 439
- 76
Ni vigezo gani wanatumia. Ktk peruz peruz yangu kuna wale nawaona mara kwa mara ila bado sijaona michango yao ya maana. Kuna membaz wana michango ya msingi sana sioni hata mmoja kutajwa. Wale majukwaa ya maana na
kujenga kama kule siasa, Tech and gadgets,
international forum, habari na hoja
mchanganyiko wao sio supa star? Napenda
nijuzwe hasa na hao ma super star
wenyewe.
Ndugu mi nadhani unazungumzia wachangiaji maarufu.Na mtu anakuwa mchangiaji maarufu kwa kuchangia sana.
Au pengine ni mamembers wa muda mrefu na wanajuana na kuzoeana kiasi ambacho
wanaweza kupiga story na kuchat katikati ya
thread ya mtu na ikawa ni sawa kwao.
Na mara nyingi hata majibu mtu anayopata inategemea sana na ID yako inafahamika au ni mpya yaani mgeni.
Lakini pia wapo wenye kuheshimu kila member haijalishi amejiunga leo au 2006,example Asha Dii.
Hivyo point yako binafsi nimeielewa nadhani unazungumzia wachangiaji maarufu ila sio usuper star coz hakuna super star mtu ukishakuwa nyuma ya ID ya bandia na picha ya bandia.