Aende kwani yeye ni mfanyakazi wa manispaaa?Miradi ni ya Jumuiya,na wanapoenda wapiga kura wanaangalia namna gani wanaweza kuifanya vizuri zaidi kushirikiana na wadau.
Kama hutaki wadau waje kuona miradi yao,sasa unaijenga ya nini??Tusifanye SIASA chafu,kila Mtanznaia anayohaki ya kukagua miradi.
Kuna miradi imegharamiwa na wafadhili imekuwa miradi HEWA kwanini wasiende??Hakuna sababu.
Kwani ni maharusi ndiyo unaenda kuwatembelea salam then unaondoka!?!Tramadol haelewi anachokichangia, si lazima ufikiri unajua kila kitu vingine unasoma unalike na kwenda kulala
Kwa miaka kumi?Alimvumilia tu kupunguzu idadi wa mawaziri wakuu wastaafu
Kamatwa wewe kama unajiskia raha kukaa kwenye ndooKutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.
Mtoto mjinga akiteleza ni baba ametelezanadhani mkuu wa wilaya kateleza pale
Kuna ombaomba alinifata na t.shirt yake ya fisiemu nikamtimua tu kwa kweli sikua na namna.hahahhah, sisiemu ni ile ileee eeeeeeeeeeeee ni ile ileeeeeeeeeeeee
Ukitaka mambo yako au biashara zako zinyoooke uwe sisiemu
Sio waziri mkuu mstaafu, bali mwenyekiti wa chadema kanda ya masharikiMkuu wa wilaya.
Ameagizwa WAZIRI MKUU MSTAAFU akamatwe.
Vichekesho hivi.
Meya yule mwenye mishavu ka puto au?Sioni shida kama walikuwa wanatembelea miradi, ikizingatiwa waliongozana na meya wa eneo husika kama mwenyeji wao
Atakamatwa tu kama walivyowakamata Walemavu Post a na kuwapa kichapo. Kama walivyompa Company Dc hai Kungo'a Matembele na nyanya za Mbowe. Dc wa zama hii wanazuia Wananchi kutembelea miradi ya Maendeleo Wilaya usiyoishi japo Tanzania ni moja. .Kutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.