RPC na OCD wa ubungo wameshindwa kaziKutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.
RPC na OCD wa ubungo wameshindwa kaziKutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.
Waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye ameshangaa agizo la mkuu wa wilaya ya Ubungo la kutaka akamatwe
Ameseam serikali inataka kukatisha tamaa mipango ya Chadema lakini hawataweza, wataleta vurugu zisizo na msingi
Amedai wao walikuwa wanatembelea kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na madiwani wa Chadema kwa faida ya wananchi na kama CCM wanavyofanya na kuhoji hilo ni kosa kwa misingi ipi
Kutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.
One day tutachoka uonezi wa Polisi na nchi haitakalikaSilaha pekee ya CCM ni Police
Bora kaka umeona.Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
Umenena mkuuHapa JF kuna watu wanashindwa kuelewa lengo la mleta mada. huyu jama yupo sahahi kaandika kuwakebehi watoa amri za kitoto.
Mkuu una uhakika na ulichoandika?Madiwani na Wabunge hawatekelezi miradi ya chama bali ya wananchi, ila tu wamepata nafasi hizo kwa kuchaguliwa na wananchi kupitia vyama vyao vya siasa. Hakuna mantiki yoyote kuwazuia viongozi wa vyama kutembelea miradi hiyo. Nchi hiinyetu sote hata wasiokuwa wafuasi wa vyama na ni muhimu kuvumiliana na kuheshimiana kama hakuna uvunjifu wowote wa amani. Hii inapunguza umoja na mshikamano miongoni mwa wananchi.ilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Nchi yetu ina watu wa ajabu sana...Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
Bora kuwa Neutral kutetea wanaoonewa na kupongeza wanaofanya Vizuri haijalisha mrengo upi.Lini mimi nimewahi kusema mna wivu wa maendeleo?
Magufuli nimeshamchana mara kibao humu kwa hizo tabia zake za kidikteta.
Hivyo tafuta jingine.
Pole mkuuNarudia tena Sumaye haruhusiwi kisheria kukagua miradi yoyote ya Serikali yeye kama yeye labda kama yupo ktk msafara wa ukaguzi kwa mwaliko maalumu wenye sababu mahususi.
Na kama ilivyo kwa hata kwa Marais wastaafu hawaruhusiwi kukagua miradi yoyote yoyote ya Serikali unless wamealikwa kwa mwaliko maalumu na kwasababu mahususi.
Hebu jaribu kututofautishia kati ya haya mawili. Walikuwa wanakagua ama walikuwa wanatembelea? Tuanzie hapo kwanza[/QUOTE][QUUOTE="tramadol, post: 21746558, member: 330582"]Narudia tena Sumaye haruhusiwi kisheria kukagua miradi yoyote ya Serikali yeye kama yeye labda kama yupo ktk msafara wa ukaguzi kwa mwaliko maalumu wenye sababu mahususi.
Na kama ilivyo kwa hata kwa Marais wastaafu hawaruhusiwi kukagua miradi yoyote yoyote ya Serikali unless wamealikwa kwa mwaliko maalumu na kwasababu mahususi.
Kwa hii chuki muogope MunguKutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.
Tramadol haelewi anachokichangia, si lazima ufikiri unajua kila kitu vingine unasoma unalike na kwenda kulala[/QUOTE]Hebu jaribu kututofautishia kati ya haya mawili. Walikuwa wanakagua ama walikuwa wanatembelea? Tuanzie hapo kwanza
Kwa lipi?Povu la nn kumbe mnawaonea wivu askar