MKONGA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 667
- 458
Kodi zetu; alafu mkuu wa wilaya anapanga nani wa kukagua miradi iliyotekelezwa na meya wa chama kinachokalia kitu cha sehemu husika!!! Kwani ilani ya chadema inatekelezwa na ccm? Wachache waziri mkuu mstaafu yy alikwenda kukagua yale yalipo kwenye ilani ya cdm na si vinginevyo. Ni haki yake kukagua ilani imetekelezwa kwa asilimia ngapi.