Malkia bora
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 765
- 524
Sikumbuki kero kama.za sasa kutoka awamu ingine isipokuwa ya kikwete hapa mwishoni.
Mheshimiwa kada,kumbuka unaposema jambo flani liko kwa mujibu wa sheria ukumbuke na kuitaja sheria husika. Wewe na DC wako hakuna anaetuambia ni sheria ipi imetumika, kama hamjui basi jueni kuwa mnaongea upepo na sidhani kama hata hiyo sheria mnayoisema ipo.Sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Hakuna kitu kama hicho tupe kifungu plsSumaye haruhusiwi kukagua miradi yoyote ile ndani ya Serikali kisheria.
Na Mstahiki Meya ana taratibu zake za kazi kwa mujibu wa sheria ndani ya Municipal.
Mwenye mandate kuhusu kazi za Tamisemi ni DED na Serikali Kuu ni DC.
Mambo ya Siasa nayo yanataratibu zake kwa mujibu wa Sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992.
Huyon mkuu wa wilaya ni kilaza kupindukianadhani mkuu wa wilaya kateleza pale
Na wewe bado ni kilazailipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Tofautisha kutembelea miradi na kukagua miradi! Hawa walikuwa wanatembelea miradi-jambo ambalo hata wewe na familia yako mnaweza kuitembelea, sasa kwa kuwa mkuu amezuia siasa na madc wameagizwa kudhibiti upinzani, huyo DC aliona kitendo hicho kitawapa fursa Chadema ya kufanya siasa, akaamua kujitoa akili!ilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Hata ww hujaona sababu ya msingi? Kweli mkuu wa wilaya ni kilaza!Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
Tukisema Ngosha mwenzio anaminya democrasia mnasema tuna wivu wa maendeleo
Si anatoa ushauri wewe kwan lazima wabomoe?ilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Kutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.
Narudia tena Sumaye haruhusiwi kisheria kukagua miradi yoyote ya Serikali yeye kama yeye labda kama yupo ktk msafara wa ukaguzi kwa mwaliko maalumu wenye sababu mahususi.Mheshimiwa kada,kumbuka unaposema jambo flani liko kwa mujibu wa sheria ukumbuke na kuitaja sheria husika. Wewe na DC wako hakuna anaetuambia ni sheria ipi imetumika, kama hamjui basi jueni kuwa mnaongea upepo na sidhani kama hata hiyo sheria mnayoisema ipo.Sheria ya vyama vya siasa ya mwaka 1992. Hakuna kitu kama hicho tupe kifungu pls
Kutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.