nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
amri ya mkuu wa wilaya ni batili zaidi ya ubatili wenyewe....
Kwa kosa lipi?Kutokana na kutoka Kwa Amri halali ya Mkuu wa Wilaya sijaona Sababu za Sumaye kuwepo Uraiani na Kurekodi Video na Kuzirusha YouTube.
Napendekeza Askari wawajibishwe kwa kushindwa kumkamata Sumaye hadi sasa.
Umeishia darasa la ngapiSio waziri mkuu mstaafu, bali mwenyekiti wa chadema kanda ya mashariki
Waanze kukamatwa viongozi wa CCM kwanza wanaokagua miradi kwenye halmashauri. mbuzi nyieilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Nenda wewe kama wao wameshindwa.RPC na OCD wa ubungo wameshindwa kazi
siku ukiwahuru na kutoshabikia uchama unyumbu utakuisha...kwamtu mwenyeakili na asofaidika kupitia vyama(kipato) atafahamu vyama vyooote bongo ni vya "hivihivi"...havina agenda ya maana na havijajijenga kupokea mawazo ya maana toka popote.Waanze kukamatwa viongozi wa CCM kwanza wanaokagua miradi kwenye halmashauri. mbuzi nyie
Ni ubashite tu wa waandishi wa habari! Ni kutembelea...nope walikuwa WANAKAGUA SIO KUTEMBELEA...mimi binafsi nilijua ni kutembelea jambo ambalo sishida lkn habari zimesema kukagua miradi nahiyo ndoshida ilipo
Unashabikia unyoko!!ilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Aende kwani yeye ni mfanyakazi wa manispaaa?
hahahaah, hayo ni maneno yake mwenyewe alisemaga hivyo hahahahahaha.UNAMSUTA SUMAYE AKIWA ARUSHA MWAKA ULEEEEEEEEEEE???
ukija kuwa mkubwa/mtumzima utanielewaUnashabikia unyoko!!
Waziri mkuu wa zamani Fredrick Sumaye ameshangaa agizo la mkuu wa wilaya ya Ubungo la kutaka akamatwe
Ameseam serikali inataka kukatisha tamaa mipango ya Chadema lakini hawataweza, wataleta vurugu zisizo na msingi
Amedai wao walikuwa wanatembelea kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na madiwani wa Chadema kwa faida ya wananchi na kama CCM wanavyofanya na kuhoji hilo ni kosa kwa misingi ipi