Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
Pamoja na semina elekezi bado hawajajua nafasi zao, unatakiwa umkamate raia kwa kosa gani la msingi
Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
ilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Wewe ni kiongozi?Tusiwatese viongozi wa Upinzani. Tuwalinde wazidi kutupa Changamoto.
Bila polisi hakuna ccm .Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
Naambiwa huyu ndiye aliyegharamia mabango ya ccm 2015 .CCM mbele kwa mbele eeeee![]()
![]()
Sioni sababu ya msingi ya kumkamata huyo Sumaye.
Ni sawa kabisa mkuu. Hiyo sio miradi ya chama ni ya serikali inayoongozwa na ccm.ilipasa iwe miradi ya chama lakini miradi inayotekelezwa na serikali haipaswi "kukaguliwa" na yeyote Bali kiongozi toka serikalini!! Ivi alivyokagua angekuta Kosa na kusema labda wabomoe wangebomoa ingekuwaje?? Tusifanye siasa nyiiingi hatakama ccm hufanya siyosawa kuwaiga
Katika mawaziri wakuu Bomu waliowahi kuvumiliwa Tanzania ni huyu.
Pamoja na semina elekezi bado hawajajua nafasi zao, unatakiwa umkamate raia kwa kosa gani la msingi
Huo ubomu mnauona baada ya kuhama ccm!Katika mawaziri wakuu Bomu waliowahi kuvumiliwa Tanzania ni huyu.
Point nzuri,Maisha ya kisiasa ni ya ajabu sana,naupenda ule msemo wa kuweka akiba ya maneno.leo hiii eti hata sumae anailalamikia ccm/serikali,ameshasahau ile kauli yake ya kua ili mambo yako yawe vizuri lazima uwe chama cha makinikia.
Cdm msiwape nafasi ya kupumua lowasa na sumae,inabidi wafanye harakati za nguvu kuijenga chadema walioshiriki kuibomoa walipokua chama cha makinikiani.
Alimvumilia tu kupunguzu idadi wa mawaziri wakuu wastaafuNa ukimzungumzia huyu usimsahau Rais aliyehudumu naye kwa miaka kumi.