bigilankana
Senior Member
- Dec 15, 2009
- 144
- 4
Mushi,
Historia ya Tanzania hapo bila historia ya Zanzibar. Kumbukeni hizi nchi mbili ziliungana zikiwa sawa kabisa na kila moja ikiwa na kiti UN. Kwa taarifa yako Zanzibar ilikuwa imelipa ada ya uanchama wa UN kwa miaka 40 chini ya Balozi Hasnuu Makame na baada ya muungano ada ya Zanzibar ndio ilichukuliwa na Muungano.
Historia ya Zanzibar haiwezi kufutwa na Muungano. Acheni ukoloni wa bara hapa. Mimi ni mbara na hata siku moja siwezi kuwaburuza watu wenye Taifa lao na historia yao.
Kumbuka Serikali iliyopinduliwa Zanzibar haikuwa serikali ya waarabu. Ilikuwa serikali ya Waafrika chini ya Shamte kama Waziri Mkuu
Historia ya Tanzania hapo bila historia ya Zanzibar. Kumbukeni hizi nchi mbili ziliungana zikiwa sawa kabisa na kila moja ikiwa na kiti UN. Kwa taarifa yako Zanzibar ilikuwa imelipa ada ya uanchama wa UN kwa miaka 40 chini ya Balozi Hasnuu Makame na baada ya muungano ada ya Zanzibar ndio ilichukuliwa na Muungano.
Historia ya Zanzibar haiwezi kufutwa na Muungano. Acheni ukoloni wa bara hapa. Mimi ni mbara na hata siku moja siwezi kuwaburuza watu wenye Taifa lao na historia yao.
Kumbuka Serikali iliyopinduliwa Zanzibar haikuwa serikali ya waarabu. Ilikuwa serikali ya Waafrika chini ya Shamte kama Waziri Mkuu