Sugu aunguruma Bungeni, atetea kazi za wasanii

<br />
<br />
Kwahiyo tatizo la Sugu litakuwa nini? Tujaribu kutoa ushauri unaojenga ili kumsaidia huyu mbunge kijana atetee kiti chake. Wasiwasi wangu sidhani kama wananchi wa Mbeya watafanya makosa kumrudisha mtu asiyejielewa mjengoni.
unacho uliza nini wakati huko juu umesha mhukumu, kwani kuna mbunge gani wa magamba mwenye uhakika wa kurudi bungeni mwaka 2015....akina komba wanafanya nini bungeni kama siyo kulala tu
 
Sugu katoa kali mjengoni......."Miraji kamwambie dingi studio changa la macho......."
 
<br />
<br />
Umefikiri kwa kutumia Masaburi

Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...duh.. nsije haribu bandama
 
Nasikia ukianza kuvuta Bangi kuacha huwa ngumu sana! Sugu zamani alikua anavuta bangi! mmmmmmh sasa sijui kama kaacha au ni imani tu za watu kuwa bangi haichwi!?
 
Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa...duh.. nsije haribu bandama
<br />
<br />
hapo hujacheka ila alama ya mshangao!
 
Matatizo ya wabunge waliopata FOUR form FOUR.

Umeonesha uwezo mdogo kwenye kufikiri mkuu
Sugu anatetea maslahi ya wasanii wote ambayo kimsingi wanadhulurumiwa na Kampuni ya Clouds Media.

Kimsingi wasanii wanadhani wanasaidiwa Kumbe ndio wanadhurumiwa bila wao kujua kama wanadhurumiwa, coz kupitia miziki ile ndio Clouds wanaanda matamasha ambayo msanii husika analipwa fedha kiduchu kwa ajili ya Live performance.

Kimsingi wasanii wetu bado hawajajua haki zao na ndio maana wanadhurumiwa na kuwanufaisha watu wachache kama hao Clouds Media ambao kutwa kukicha ni kuwatumikisha wasanii hao.
 
Matatizo ya wabunge waliopata FOUR form FOUR.
<br />
<br />
umetumwa na ruge mwambie nae awe anaajili proffesional sio failer kama kina kibonde na mchovu ambao awana taaluma zaidi ya kutetea matumbo yao.
 
Hivi analitendea haki jimbo lake la mbeya kwa
kuzungumza sana kuhusu wasaniii???????????


mkuu, Mh Mbilinyi ni waziri kivuli ktk hiyo wizara ya mh nchimbi.., so anawakilisha maoni ya chama chake CDM kwa ujumla khs hiyo wazira,
yy binafsi kama mbunge atakuwa anayo nafasi yake ya kuchangia hoja pale bunge litakapojadili hoja ya mh nchimbi...., but hata hivyo mh mbilinyi ''sugu'' atakuwa ana haki ya kuzungumzia sanaa kwa kuwa ni msanii anawakilisha wasanii wenzie wakiwemo wa mbeya mjini!

khs kuwazungumzia waakazi wa mbeya ameweza kufanya hivyo vizuri sana toka awe mbunge kwa kuchangia ktk hoja mbalimbali za wizara zingine na mijadala mingi tuu bungeni...!
 
Sugu kaandikiwe Speech yeye kaenda kuisoma tu!

mkuu, ofcoz hiyo ni kweli, CDM huwa wana utaratibu mzuri wa kushirikisha uongozi mkuu wa chama, baraza kivuli la mawaziri ktk maandalizi ya hotuba zao mjengoni.

So naye mh sugu anakuwepo ktk maandalizi hayo na kuchangia points.., huwa wanafanya kazi ki-team!Ni katika kutoa maoni ya chama kizima cha CDM..., hata ktk govt, waziri huwa aandai hotuba ya wizara yake husika.., kuna maofisa wanaohusika, na kabla ya kuisoma lazima ipelekwe ktk baraza lao la mawaziri kwa kupitiwa na kuthibitishwa...!
 
ndo kazi yake kukutetea wewe msanii ambaye unaonewa na kunyonywa na watu wachache ila kajikita zaidi kwa kaka ruge na kugusia kiaina kwa wahindi twende kazi jamaa anaweza kufanikiwa lakini kama tutamuunga mkono..

lakini tusisahau kwenye msafara wa chui na paka wamo..
 
hotuba yake si mbaya maana amejaribu kuangailia pande zote habari michezo na utamaduni .. ameweka bayana hata umuhimu wa wasanii na wanamichezo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom