Sugu aunguruma Bungeni, atetea kazi za wasanii

Kwa Kweli Sugu ameonyesha hali halisi ya wizara ile, Chadema wanajua kumweka mtu sehemu anayofaa, Sugu umeitendea haki Fani yako nafikiri utafika mbali katika hii anga ya siasa, na kwa wale walio karibu nae aendelee kuita koleo koleo na sio kijiko kikubwa.

Akhasante sana Mr Two a.k.a Sugu.
 
Matatizo ya wabunge waliopata FOUR form FOUR.
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Acha Uzoba wewe,nakutajia wabunge kadhaa wa CCM ambao ni Darasa la Saba:<br />
1.Anajiita Prof Maji Marefu-Ngojan<br />
2.Livingstone Lusinde(tena huyu ameishia darasa la nne etc<br />
Sasa wewe unazungumzia Div 4? unatumia Masaburi kufikiria wewe.
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Si kapata 4 form 4, unatarajia nini mkuu?
<br />
<br />
Hata rais, wm, mawaziri, makatibu wakuu na viongozi wengine ndani ya vyama vya siasa huandaliwa hotuba. Kama hujui jambo ni vizuri kuuliza.

Kuuliza si ujinga ila kujiona unajua wakati hujui ni upumbavu. Hivi unajua kwamba Mh. Lukuvi na Mh. Hewa elimu zao ni za shule ya msingi. Nataja hawa wachache ili uone utendaji wao bungeni na uje na conclusion makini.
Hawa ni wachache tu wakutajwa.
 
Mheshimiwa sugu leo amezungumza vizuri sana juu ya maslahi ya wanamuziki na unyonyaji wa hali ya juu unaofanywa na wanaojiita promoters wa muziki wa kitanzania( Clouds fm) pamoja na kampuni zilizoanzishwa kuendeleza unyonyaji huu.

Inasikitisha sana kuona kwamba Ruge na wenzake ambao katika hali ya kawaida tulitegemea wangekuwa wa kwanza kukuza na kuwasaidia wasanii wa kizazi kipya ndio kwanza wamekuwa mstari wa mbele kuwanyonya wasanii hawa kwa kuwalipa peanut wakati wa matamasha ya fiesta ambayo wenyewe hukusanya mamilioni ya fedha,inauma na kusikitisha sana kuona wasanii wetu wanavyotumiwa kama mgongo kwa ajili ya kuwanufaisha watu wachache tu.

Mh Rais tunaomba usikie kilio hiki cha kuhusu studio ya wanamuziki ambayo sasa inatafsiriwa kama ni studio ya kikundi cha watu wachache na kuwaacha kundi lengwa la wasanii wasijue nini hatma yao.

THT sio kielelezo cha wasanii wote bali ni kikundi cha wasanii wamilikiwa tu na hili jambo likiachwa kama ambavyo linaaminika kuwa sahihi sasa,kuna hatari likaleta mgawanyiko na mpasuko mkubwa sana miongoni mwa wasanii nchini.
STUDIO NI YA WASANII WOTE NA SI WASANII WA THT

MY OBSERVATION

ukiona msanii haelewani na clouds basi ujue msanii huyo ana uelewa mkubwa sana wa haki zake na pia hayupo tayari kuwa mtumwa wa watu wenye nia ovu.
 
Sugu harakati zinaendelea....hii hotuba iko makini sana na wanaotuharibia sekta nzima ya sanaa ni serikali na Clouds entertainment kwa unyonyaji wao wa wasanii na ukwepaji wa kodi za serikali.

Mifano hai,kuingia pale kwenye nyumba ya sanaa kwa watoto wa kike lazima bosi wao na mwalimu wao mkuu pale atembee na wewe....Clouds pia wana historia ya kuwalazimisha kimapenzi wasanii wa kike ili wapate promo,ndio maana Kipozi aliwakataza watoto wake "unique sisterz" wasijihusishe kabisa na Clouds FM enzi hizo.

Wasanii wa kiume lazima ukubali unyonyaji wao yaani uwe misukule yao ndo upigiwe nyimbo na upewe maonyesho....ala sivyo utatengwa kama kina 20% percent,mrisho Mpoto na wengineo wengi.
 
Kamanda kazana kutetea wasanii,kaza ile studio irudi ila unakazi sana coz hao clouds ni ccm pia but utafanikiwa.
 
aisee 1 point 14 pia ni ya kutaja.....ila nimegundua we ni zuzu kabisa unapima division za sekondari na uwezo wa kufikiri na maisha....basi nyie mliofaulu ndio mngekuwa matajiri na viongozi...lakini vichwa wenzako ndo madudu kabisa na ndio wanaotuharibia nchi
 
Hivi analitendea haki jimbo lake la mbeya kwa
kuzungumza sana kuhusu wasaniii???????????

Wizara yake kivuli inahusika na nini hasa?? Hii hotuba kaitoa kwa capacity ya waziri kivuli. Fuatilia bunge kwa makini punguza kushinda kwenye facebook kutwa nzima.
 
Hii ni moja ya hotuba iliyojaa maudhui mazito. Nimesoma mpaka mwisho na nikarudia mara mbilimbili baadhi ya vipengele vilivyosahaulika long time.

Nina matumaini makubwa kwamba huu mzito utaamsha hisia ambazo zimekuwa zikipuuzwa makusudi na/au kukandandamizwa kwa muda mrefu sasa.

Hiyo taasisi ya urais pamoja na kuelezea nia ya kuanzisha studio kwa ajili ya ajili ya kuwawezesha wasanii wote Tanzania kwa mgongo wa serikali, ukweli ilikuwa na malengo tofauti, na wanaelewa kabisa yanayoendelea.
Wanafurahia hali hii kwa sababu taasisi binafsi waliyokabidhi rasilimali zetu kinyemela imekuwa ikitumika kimkakati kama watetezi wakuu kisiasa.

Kwa maneno mengine ya mtaani..ni changa jingine la macho dhidi ya wasanii wa bongo!
 
Wapi watangazaji 'warembo' wa CLOUDS FM!....tuone sasa mkiendeleza ya 'Umbea' wenu wa PB!
 
Halafu mnalalamika wabunge kupiga usingizi, hadithi ndefu iso na faida yeyote..Huyu sugu anazidi kupotea, kila akiwekewa mic basi lazima alete vita yake binafsi na clouds FM.

Nyie wanaCDM wote hapo mnao sifia hii hotuba ya sugu ni ushabiki tu. Kila hotuba ya wabunge wa CDM lazima isifiwe utasema ilikuwa ya nyerere.
 
Halafu mnalalamika wabunge kupiga usingizi, hadithi ndefu iso na faida yeyote..Huyu sugu anazidi kupotea, kila akiwekewa mic basi lazima alete vita yake binafsi na clouds FM.

Nyie wanaCDM wote hapo mnao sifia hii hotuba ya sugu ni ushabiki tu. Kila hotuba ya wabunge wa CDM lazima isifiwe utasema ilikuwa ya nyerere.
umeshawahi kusifia kitu chochote cha chadema?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom