Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 103
Mi binafsi amenikosha moyo wangu,
Ameongea mambo ya msingi sana kuhusu wizara hiyo
Big up Mr Sugu
Ameongea mambo ya msingi sana kuhusu wizara hiyo
Big up Mr Sugu
<br />Clouds hawawezi kamwe kumsemea Sugu kwa uzuri
mkuu, huu jamaa yuko sawa sana japo kuwa hapa tanzania alifahamika sana kwa nyimbo ambazo watu walikuwa hawazikubali sana na pia kutokana na hali hiyo hata uwezo wa kujenga hoja na kufanya shughuli za maendeleo alikuwa haaminiwi na watu lakini ...........mambo yako poa sana!!!!!hivi analitendea haki jimbo lake la mbeya kwa
kuzungumza sana kuhusu wasaniii???????????
Fabregas kashasain mkataba na BarcaHivi analitendea haki jimbo lake la mbeya kwa<br />
kuzungumza sana kuhusu wasaniii???????????
Waziri huwa anajisahau na kuona wizara ni ya mpira wa miguu tu,jamaa mzima sana tena mbishi yuko chama imara ndiyo maana upeo wake unaongezeka kila siku.bravo man.
<br />Ni ujinga mtupu kumshabikia mpuuzi kama huyu. Mbeya tumekubali tuna mbunge kivuli mpaka 2015
Ni ujinga mtupu kumshabikia mpuuzi kama huyu. Mbeya tumekubali tuna mbunge kivuli mpaka 2015
Utakuwa unatoka Mbeya unayoifhamu wewe io Mbeya city broooNi ujinga mtupu kumshabikia mpuuzi kama huyu. Mbeya tumekubali tuna mbunge kivuli mpaka 2015
<br />Ni ujinga mtupu kumshabikia mpuuzi kama huyu. Mbeya tumekubali tuna mbunge kivuli mpaka 2015
Sugu ananikosha sana.anachonifurahisha mweshimiwa huyu ni kwamba,kila siku anakuwa zaidi kiupeo na kiuwasilishaji hoja na uchangiaji bungeni.ameongea mambo ya msingi sana na yenye kutetea pande zote za wizara husika tofauti na waziri husika aliyeongelea suala la mpira wa miguu.
pongezi sana sugu,tuko pamoja mpaka kieleweke
usije kusutwa tu speaker
halafu rudisha ile avatar aisee