REBEL
Senior Member
- Dec 15, 2010
- 166
- 64
na wabunge wenu wa ccm wenye first class na madokta feki mbona ni wezi.mimi nina LL.B lakini sijawahi kujiona bora kutokana na elimu yangu.bora mbilinyi wa form four kuliko mbunge wetu mjinga dr.mahanga.akili za vyeti,na kukariri ni za kijinga sana.mwenye akili alikuwa nyerere tu ccm.