Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Kwani magufuli ndiyo anajenga barabara majitu mengine hasara kweli.
 
itakua labda kamlipua kwenye verse za huipu hopu, lakini hana credentials za kuhoji utendaji wa magufuli. waliomchagua walikosa mbadala wake ila 2015 hawatakosea tena kumrudisha bungeni

...kweli mkuu. Mbeya mjini tumeshampata yule dada muiba mataulo mahotelini aka nyumba ndogo ya Vasco Dagama? Sugu ataipata fresh 2015.
 
yaani hicho kipande ni majanga,kuna lami toka kigoma mjini mpaka njia panda ya uvinza nayo ni full mawimbi,Chato kwenda muleba barabara ni mitaro,singida-manyoni kimeo,singida kateshi ni janga lingine,igunga-nzega viraka kama bendera ya interahamwe

Nenda mwandiga mpaka manyovu nayo yale yale wametengeneza lami za kichina miaka 3 biashara imeisha
Mkuu umeua. Sentensi fupi lakini zimebeba ujumbe mzito sana! Mwenye macho na aone na mwenye masikio na asikie!
 
Hii ni hasira, chuki, ama ukosefu wa misamiati? Mbona Almasi na Kinyesi ni kuvuka mipaka? Na huyo Mungu unayemtaja kwenye sentensi hiyo hiyo ni mungu gani? Mwombe radhi Sugu-kiumbe cha Mungu kama huyo Magufuli.


Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.
 
Mimi naona ifike wakati tuseme ina tosha kule ufisadi bilion karibia 200, uharamia, maisha magumu, watu wanagawana tu hela bungeni ila sijui sisi watanzania nani ametuloga utaona mwakani chama cha kijani kitapita kiulaini....
 
Imenishangaza zaid hii barabara ya hapa jangwani kwenye daraja wameshindwa kuinyanyua na kufata muinuko wa kutoka fire mpk mapipa ili mvua ikinyesha kuwe hakuna usumbufu

Maana yake sasa hata kama barabara imemaliza tutaendelea kusumbuka na mafuriko kila siku na baadae barabara itaondoka na maji.
 
Magufuli tenda wema nenda zako usingoje shukrani hawa wapinzani ni kama watoto wa kambo hawana shukrani wala ahsante wakipewa wanalalamika wakinyimwa pia wanalalamika mvua hizi za mwaka huu kuharibika miundo mbinu na akitokea mpuuzi kulalamika wala usimshangae kwa vile mwanakharamu hata umweke katika chupa lazima ataonesha kidole mie nimo humu chapa kazi baba achana na hayo MAKAWA hayana jipya!

hivi kuna watu wanachukuliwa kama watoto wa kambo linapo kuja swala la maendeleo ndani ya nchi yao?.
 
Hii ni hasira, chuki, ama ukosefu wa misamiati? Mbona Almasi na Kinyesi ni kuvuka mipaka? Na huyo Mungu unayemtaja kwenye sentensi hiyo hiyo ni mungu gani? Mwombe radhi Sugu-kiumbe cha Mungu kama huyo Magufuli.
nimetaja Mungu sio mungu, unajua tofauti ya God na god? UKAWA kuwa smart bwana hilo genge la wehu lisikuvuruge.
 
Na wewe Kumbe pimbi. Hivi sugu unaona kama zinamtosha? Au kakuambukiza upunguani wewe magufuli jembe hata mbinguni wanamkubali. Ili wasio na macho ya kuona chochote ni we we na sure wako.

Mkuu acha utani na mbinguni, hivi kuna mtu aliye ccm anawaza mambo ya mbinguni?
 
Magufuli tenda wema nenda zako usingoje shukrani hawa wapinzani ni kama watoto wa kambo hawana shukrani wala ahsante wakipewa wanalalamika wakinyimwa pia wanalalamika mvua hizi za mwaka huu kuharibika miundo mbinu na akitokea mpuuzi kulalamika wala usimshangae kwa vile mwanakharamu hata umweke katika chupa lazima ataonesha kidole mie nimo humu chapa kazi baba achana na hayo MAKAWA hayana jipya!

Mimi namuunga mkono mleta mada, Tunafahamu sote kuwa magufuli anafanya kazi, na ni mwanadamu sasa pale anapokosea na kukosolewa lazima akubali na ajirekebishe ili aweze kufanya vizuri zaidi, lakini mkiwa mmefumba macho kwa kuwa yeye ni wa kufanya vizuri tu , atatuingiza shimoni kwa kujua yeye yuko perfect kama malaika, lakini hapana yeye ni mwanadamu na huwa anakosea, na anakosea mengi tu sema kwa kuwa watu hawapendi kuyazungumza.
 
Back
Top Bottom