Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Yaan ni balaa tu hko morogoro wilaya ni lakini nauli shi 70000 miundo mbinu hakuna kivuko akifanyi kazi na tulikuwa na mawazir kombani na mwenzake ni balaa tu
 
Kamwambia anajisifu kuwa unatoka Mtwara mpaka Bukoba kwa bajaj! Kawaambia wabunge subutu hata na GX 100 kama utafika salama bila ajali maana sasa hivi hiyo barabara ni mashimo na manundu yakutosha.
Ambao ndio ukweli. Hii tabia ya kupenda sifa anayo sana Magufuli na wapo wanaoingia mkenge

Kwa kweli inasikitisha sana barabara zote walizojenga awamu hii ni majanga nyingine kabla ya makabidhiano wanaweka viraka.
 
Magofuli ni mropokaji mzuri sana barabara kibao ziko chini ya kiwango na hasa kipindi hiki cha mvua ndo balaa zaid
 
Hivi nyie CHADEMA barabara zenu nzuri mlizojenga ziko wapi?
Lahaula! Kumbe level zenu za uelewa ndizo hizi? Maana nimeyasikia haya toka kwa mbunge mmoja wa kike wa CCM.
CCM wala Chadema hakuna mwenye barabara, hizo ni za Watanzania kwa kodi na madeni yao ya nje. Ila usimamiI wa ujenzi huo mbovu unasimamiwa na CCM na ndio maana Sugu kasema anachostahili Waziri Magufuli ni kwenda jela tuu kwani ni kama muuaji. Hayo mabilioni ya kufanya repair kutokana na hizo 10% zake kama yange pelekwa kununua vifaa vya mahospitini Watanzania wangapi wangeepuka kifo kutokana na ukosefu wa vifaa na dawa? MUUAJI SIO LAZIMA AUE DIRECT KWA KISU AU KUKABA hata kumsababishia mtu kifo ni uuaji vilevile
 
Hiyo barabara ya meta haijalipiwa hata senti mkandarasi alijitolea kuijenga baadae ikaj6likana kuna mkondo wa maji hivyo anasubiri mvua iishe aijenge upya.ni vyema kuwauliza wahusika badala ya kulalama
 
Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.

Waziwazi unalalamika hamna maji na bado unamsifia. Huoni unajichanganya?
 
Tazama Pia barabara ya Domadoma Moro, ina miaka zaidi 27 bila matengenezo makubwa ilisimamiwa ya Isiza miaka 80

Hawataki imara ili kila mwaka kuwe na tenda si unajua 10%.
 
Namnukuu Sugu
'Halafu eti Magufuli ndio rais mtarajiwa,me nasema huyu ni mfungwa mtarajiwa'.Mwisho wa kunukuu
 
Akichangia jioni hii Mhe Sugu amesema kuwa Mhe Magufuli hafanyi kazi kitaalamu bali anapiga siasa tuu ili kupumbaza watu. Amesema kuwa hizo barabara anazojisifia na zinazotumia mabilioni mbona baada ya miezi michache zinqumuka na kuhitaji matengenezo makubwa wakati kuna barabara za zamani kama Makambako -Songea ni za zamani na bado zinahimili zaidi ya hizi?
Pia amezungumzia makampuni ya kigeni kama Strabag kuwazulumu vibarua wazawa naye kukaa kimya kwa hilo zaidi ya kujisifia binafsi.
Kamaliza na kusema kama anajipigia debe la urais huko asahau bali mahali panapo msahili ni jela kwa kushiriki kwake ubadhilifu

Makambako - Songea miaka ya 1970's - unaweza linganisha gari za mizigo miaka hiyo na leo? au sina macho mimi?

Dr.Magufuli alitaka kudhibiti uzito wa magari lakini waziri mkuu akaingilia kati na kumzuia na akafanikiwa kuwakumbatia wafanyabiashara wacahache wenye kutaka kumaximize profit bila kuangalia namna ya kutunza miundombinu hasa barabara!

Kwa takwimu zilizopo sasa hivi, asilimia 99.3 ya mzigo wote unapita barabarani wewe unategemea nini?

Reli imehujumiwa kaingia Mwakyembe yaleyale na tena amekuwa shabiki mkubwa eti mizani iondolewe ili barabara zife kabisa.

Ukweli Magufuli amelitendea haki taifa hili lakini kuna watu sijui kwa nini hawawezi hata kusema asante kwa huyu kiongozi japo kajitahidi kazi yao kupiga kelele tu.

Tafiti zinasema hivi:

"It is important for those responsible for the maintenance and operation of highway infrastructures to monitor and prevent truck overloading. The additional weight carried by overloaded trucks accelerates the deterioration of the roadway, leading to rutting, fatigue cracking, and in certain cases structural failure (Sharma, 1995; CSIR, 1997; Bushman et al 2003; Santero et al., 2005)"

"In a 1990 report (Transportation Research Board, 1990), illegally loaded trucks were estimated to cost United States taxpayers $160 to $670 million per year on the highway system. Straus and Semmens (2006) conducted a study to quantify state highway damage on the basis of the impacts of overweight vehicles. Each year, millions of dollars of damage associated with life span, design, and maintenance of state highways and structures are attributed to vehicles that exceed state weight limits. They found that for every dollar invested in motor carrier enforcement efforts, there would be $4.50 in pavement damage avoided"
 
Hiyo barabara ya meta haijalipiwa hata senti mkandarasi alijitolea kuijenga baadae ikaj6likana kuna mkondo wa maji hivyo anasubiri mvua iishe aijenge upya.ni vyema kuwauliza wahusika badala ya kulalama

mkuu kama kuna barabara kituko nliwahi shuhudia ni hii ya meta hapa mbeya imemalizwa kujengwa mwakajana mwezi wa kumi ila ukienda sasa hivi huwezi amini ni mashimo bin manundu
 
Ila ki ukweli wakuu, barabara za sasa hivi ni mbovu sana! Nakumbuka mwaka 1995 barabara ya Mwinyijuma aka Mwinjuma Road, iendayo Mwananyamala kupitia Komakoma ndo ilijengwa na Konoike! (japo nasikia nao wamekuwa Wasanii) Barabara imedumu muda mrefu na ilijengwa kwa kiwango kizuri.

Barabara za sas, Mungu wangu, majanga matupo, hazikai hata miaka 3 zina mashimo ya kutosha!
 
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?

Yan ckutegemea useme hvo anyway haujui urith wako ndio maana unaridhka na kila kit amka ucngizn mkuu
 
Tazama barabara ya Singida Shelui Nzega,ovyo kabisa.Tabora waliambiwa na Magufuli kama mpaka mwezi wa 4 hawajamaliza atawatimua wachina.hakuna kitu,kuna lami km 10 tu kati ya 130 kwenda Nzega

yaani hicho kipande ni majanga,kuna lami toka kigoma mjini mpaka njia panda ya uvinza nayo ni full mawimbi,Chato kwenda muleba barabara ni mitaro,singida-manyoni kimeo,singida kateshi ni janga lingine,igunga-nzega viraka kama bendera ya interahamwe

Nenda mwandiga mpaka manyovu nayo yale yale wametengeneza lami za kichina miaka 3 biashara imeisha
 
Akichangia jioni hii Mhe Sugu amesema kuwa Mhe Magufuli hafanyi kazi kitaalamu bali anapiga siasa tuu ili kupumbaza watu. Amesema kuwa hizo barabara anazojisifia na zinazotumia mabilioni mbona baada ya miezi michache zinqumuka na kuhitaji matengenezo makubwa wakati kuna barabara za zamani kama Makambako -Songea ni za zamani na bado zinahimili zaidi ya hizi?
Pia amezungumzia makampuni ya kigeni kama Strabag kuwazulumu vibarua wazawa naye kukaa kimya kwa hilo zaidi ya kujisifia binafsi.
Kamaliza na kusema kama anajipigia debe la urais huko asahau bali mahali panapo msahili ni jela kwa kushiriki kwake ubadhilifu


Ikumbukwe pia Magufuli anasimamia barabar Kuu (Trunk Roads) na barabara za mikoa (Regional Roads) zile za halmashauri zinazotajwa humu zingine hazipo chini ya wizara ya Magufuli ni vyema hili likaeleweka vizuri.
 
Ila ki ukweli wakuu, barabara za sasa hivi ni mbovu sana! Nakumbuka mwaka 1995 barabara ya Mwinyijuma aka Mwinjuma Road, iendayo Mwananyamala kupitia Komakoma ndo ilijengwa na Konoike! (japo nasikia nao wamekuwa Wasanii) Barabara imedumu muda mrefu na ilijengwa kwa kiwango kizuri.

Barabara za sas, Mungu wangu, majanga matupo, hazikai hata miaka 3 zina mashimo ya kutosha!

wanasiasa wetu wakitaja figure tunawapigia makofi,sasa tuna idadi ya barabara za lami kwa figure kubwaaa kumbe mbovu
 
Back
Top Bottom