TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,564
Kauli za k.i.p.u.m.b.a.v.u za mijitu mingine inayotetea utendaji mbovu wa serikali inakera kama nini!Bora mama zao wangewafanyia abortion tu wangeifanyia nchi hii msaada mkubwa!!!!
Kauli za k.i.p.u.m.b.a.v.u za mijitu mingine inayotetea utendaji mbovu wa serikali inakera kama nini!Bora mama zao wangewafanyia abortion tu wangeifanyia nchi hii msaada mkubwa!!!!
Tazama barabara ya Singida Shelui Nzega,ovyo kabisa.Tabora waliambiwa na Magufuli kama mpaka mwezi wa 4 hawajamaliza atawatimua wachina.hakuna kitu,kuna lami km 10 tu kati ya 130 kwenda Nzega
Nilikuwa kwenye mradi wa barabara wa Laela-Sumbawanga ambao ulitakiwa uishe December 2013. Mpaka leo hata nusu ya kazi haijafanyika. Mkandarasi, Interbelton bado anaendelea kujivinjari na vibinti vya Sumbawanga. Magufuli, kimya. Baada ya kuila hela ya MCC.
Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?
Hakika bila ushabiki, barabara ya songea-Makambako ni tangu miaka ya 80! Lazima kuna tatizo na wataalamu na mawaziri wa sasa. Tunaomba wasikasilike. Wajiulize mapungufu yao.
tazama pia barabara ya domadoma moro, ina miaka zaidi 27 bila matengenezo makubwa ilisimamiwa ya isiza miaka 80
Watu hawaambiwi ukweli tuu, hizi ajali zilizoongezeka siku hizi majibu ni mepesi eti mwendo kasi! Hawafanyi utafiti tuu, chanzo ni hizo barabara kuwa na mawimbi kama bahari. Sasa wangapi wamepoteza maisha kwa sababu tu ya 10% na usimamizi mbovu.Hakuna sehemu inayonikera kama kutoka chalinze kuitafuta ruvu,yaani lami inamabonde balaaaa aaagh
Anahakikisha wapigapicha wa television zote wapo kisha anapanda kwenye greda kama ana endesha vile na akitoka hapo anayaongoza magari eneo la tukio kama trafiki na sie kama mazuzu tumasema jamaa mchapa kazi.Yule msanii tu kama Sugu alivyosema, barabara ya Somanga kule Lindi km 12 hadi ataondoka madarakani haijaisha na mkandarasi kagoma kuendelea zile zilizo jengwa ni chini ya kiwango kutwa zinabomolewa na kujengwa ila hata hatumuoni akiongea.
Anasubiri madaja ya bomoke ili alete sura yake kwenye media kuwa anasimamia ujenzi hadi usiku mnafiki mkubwa sana yule.
jinga hilo achana nalo, yeye mwenyewe hajitambui sembuse ndio atambuwe gharama tunazoingia kujenga barara mbovu?
Kwahiyo nyie CHADEMA hakuna chochote cha maendeleo mnachoweza kuwafanyia watanzania?
Magufuli ni almasi! wewe ni nini? Unasifia dume hadi wewe mwenyewe unajiweka shimo la taka!
Vipi hapo Chalinze, kuna mbunge?
Vipi hapo ilala, kuna mbunge?
Vipi hapo Gairo, Kuna mbunge?
Vipi hapo Kalenga, Kuna mbunge?
Vipi hapo, nk.
Vipi hapo kwenu, kuna mbunge?
Taja unakodhani kuna mbunge wa kujisifia. Anyejua anachokifanya.
Lahaula! Kumbe level zenu za uelewa ndizo hizi? Maana nimeyasikia haya toka kwa mbunge mmoja wa kike wa CCM.
CCM wala Chadema hakuna mwenye barabara, hizo ni za Watanzania kwa kodi na madeni yao ya nje. Ila usimamiI wa ujenzi huo mbovu unasimamiwa na CCM na ndio maana Sugu kasema anachostahili Waziri Magufuli ni kwenda jela tuu kwani ni kama muuaji. Hayo mabilioni ya kufanya repair kutokana na hizo 10% zake kama yange pelekwa kununua vifaa vya mahospitini Watanzania wangapi wangeepuka kifo kutokana na ukosefu wa vifaa na dawa? MUUAJI SIO LAZIMA AUE DIRECT KWA KISU AU KUKABA hata kumsababishia mtu kifo ni uuaji vilevile
Anahakikisha wapigapicha wa television zote wapo kisha anapanda kwenye greda kama ana endesha vile na akitoka hapo anayaongoza magari eneo la tukio kama trafiki na sie kama mazuzu tumasema jamaa mchapa kazi.
Kumbe waandishi na wapiga picha washakula mshiko wao
Pumb.av.u wewe!!Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?