Sina pa kwenda
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 113
- 15
Sasa wewe mbona haupo sawa, mara umsifie huyu magufuli mara na wewe ulalame vipi wewe? Haujijui ulipo ungekuwa unajijua ulipo usingeandika huu ----- wako hapa
Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.