Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Sasa wewe mbona haupo sawa, mara umsifie huyu magufuli mara na wewe ulalame vipi wewe? Haujijui ulipo ungekuwa unajijua ulipo usingeandika huu ----- wako hapa

Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.
 
Huwezi kulinganisha barabara za Oysterbay/Masaki za miaka ya themanini na barabara za Sinza mashimo kibao
 
kuna barabara ipo Tabata camp kupitia st marrys mpaka reli ...imezinduliwa January mwaka huu kwa sasa ni kama matuta ya viazi..inasikitisha sana!
 
Kwa kweli hata mimi simuelewi kbs mzee Magufuli. Mfano kwa wanoishi Dar watanisaidia kuhusu ujenzi wa barabara za Goba na Kinyerezi kwa kiwango cha lami. Nafkiri ni mwaka wa tatu sasa nasikia tu ela imeshatengwa na mkandarasi ameshapatikana ila sioni chochote kikiendelea. Au hizi nazo ndio zilezile za kwenye Ripoti ya CAG kuwa asilimia 38 ya fedha zilizotengwa hazikutumika kulikokusudiwa? Pole Magufuli pole sana. Ningekuona wa maana sana kama ungezijenga barabara zote za mitaani na zitakazopunguza foleni jijini Dar kwa kiwango cha lami kabla ya kuanza huo mradi mnauita wa mabasi yaendayo kasi sijui...kumbuka sisis wananchi hatuhitaji kwenda kasi ila tunahitaji barabara zitakazotuwezesha kutumia muda mfupi kwenda kwenye shunghuli mbalimbali na zisizoharibu vyombo vyetu vya usafiri.
 
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?

hivi wewe ni binadam au ngisi :embarassed2: kama ni binadam wewe siyo mtanzania na kama siyo mtanzani wewe ni kichaa
 
elevated1.jpg


shuhudia hiyo metro ya mji mdogo india unaoitwa chennai - imejengwa katika muda mfupi na hakuna bomoabomoa za magufuli.
NB pillars zimepandishwa na traffic ya magari inaendelea chini kama kawaida - hii ni hata wakati wa ujenzi.

Kelele za debe ni dalili ya utupu
 
2011060863850301.jpg


mji mdogo wa Chennai India barabara ya juu inaendelea kujengwa kwa kupandisha pillars kwenye barabara ya chini na hakuna bomobomoa za magufuli. hapo kazi inaendelea

NB inatushinda nini kufanya hivyo kwenye barabara kama Ally Hasan Mwinyi, Morogoro road, Nyerere nk.
Unambie magufuli ni jembe - au kiwembe cha kunyolea mananiliu
 
Kiukweli na uhalisi uliopo barabara zinazotengenezwa chini ya Magufuli zipo chini ya kiwango na gharama zake ni kubwa mno, Huu ni wizi wa mchana kweupe yaani barabara zinatengenezwa baada ya miezi6 zinaota manundu zinaumuka ndio maana ajali zinakuwa nyingi
 
Nawafananisha na fundi mfinyanzi anayejisifu kuwa yeye yu hodari katika kufinyanga ilhali hajawawi kutengeneza chungu hata kimoja!

Mbona unaaandika mambo yanayopingana? Ongeza umakini.

Unasema ni fundi mfinyanzi, mwishoni unasema hajawahi kutengeneza chungu hata kimoja. Una maana gani? ni fundi wa kufinyanga vitu gani? Akam ni vitu vingine basi pia ana haki ya kujisifia hivyo vingine!
 
kati ya hao unadhani majimbo uliyoyataja unahisi kuna yeyote unaweza kumfananisha na Sugu? leta CV zao, ila any way huenda naongea na mtu mwenye upeo kama wa sugu std 7 kwenye ulimwengu wa technologia.

Hebu nikujaribu uwezo wako wa darasa la 6. Najua ulimaliza form 4. Fanya hebabu (siyo Hisabati) ifuatayo maana Hesabu ndo tatizo la Kitaifa, kabla hujaingiza siasa uchwala. Kumbe bado unaangalia CV badala ya uwezo wa mtu kuangalia yajayo!

2x6+1-2 = ?

Nipe jibu haraka.
 
Hebu nikujaribu uwezo wako wa darasa la 6. Najua ulimaliza form 4. Fanya hebabu (siyo Hisabati) ifuatayo maana Hesabu ndo tatizo la Kitaifa, kabla hujaingiza siasa uchwala. Kumbe bado unaangalia CV badala ya uwezo wa mtu kuangalia yajayo!

2x6+1-2 = ?

Nipe jibu haraka.
= MAGAZIJUTO=11 haya kubwa jinga una lingine wewe mwenye upeo wa kuongozwa na wachunga ng'ombe na walima mtama wa lejaleja bila elimu kichwani.

wewe fanya hii

((1+3)(2*8))/33-4+3=?
nijibu fasta
 
2011060863850301.jpg


mji mdogo wa Chennai India barabara ya juu inaendelea kujengwa kwa kupandisha pillars kwenye barabara ya chini na hakuna bomobomoa za magufuli. hapo kazi inaendelea

NB inatushinda nini kufanya hivyo kwenye barabara kama Ally Hasan Mwinyi, Morogoro road, Nyerere nk.
Unambie magufuli ni jembe - au kiwembe cha kunyolea mananiliu

mkuu nina uhakika wewe hujajenga hata choo.
 
Hawez kujibu hyo hesabu nahc anakunywa gongo. Ila sugu yupo juu hata kama hana elimu.
 
DA hii nimeielewa kweri kutoka kwa mh : sugu mbunge wa mbeya mjini kasema ukweli hii ndio siasa tunazozitaka bara bara mbovu na zimetengenezwa kwa kodi ya wanainch maisha magumu vijana hawana ajira unakaa na kuanza kujisifia ujinga wako si ukakae umdanganye mke wako mweshimiwa magufuri ili andelee kukupenda zaidi kwa uongo wako mfano mmoja tu bara bara moja pale mbeya ile ya kutoka meta hospitari ya wazazi kuelekea rufaa mmefanya nini bara bar mbovu kabisa mnafanya malekebisho tena kwa kodi za wananch kwanini msitumie mrizo iba
 
Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.

kutoa matusi mazito kama hayo si utamaduni unaotufa watanzania
 
Jamani ebu tuwe tunaangalia na jicho lapili,hizo bararabara
Zitadumu vipi wakati magari ya mizigo yana overload?
Tutatafuta na mchawi bure. Barabara zote zile ambazo
Ziko busy yani ambayo inatumika kwa kiasi kikubwa ,haziwezi kudumu kamwe.pasipokuwa na
Substute kama reli.
Mfano kama barabar ya dar -moro haina muda tangia ijengwe lakini mikunyanzi
Ni mingi ambayo inaonesha kuwa imedidimia tokana na heavy weight loads Inazopita
Hapo .
 
Back
Top Bottom