Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Sugu amuumbua Waziri Magufuli

Na wewe Kumbe pimbi. Hivi sugu unaona kama zinamtosha? Au kakuambukiza upunguani wewe magufuli jembe hata mbinguni wanamkubali. Ili wasio na macho ya kuona chochote ni we we na sure wako.
 
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?

Mawazo kama haya ndio yanafanya Watanzania tuonekane mazuzu, wavivu wa kufikiri na wapenda ushirikina...........muwe munatafakari kabla ya kuchangia.
 
Magufuli anajua kucheza na vyombo vya habari na waandishi wetu vilaza barabara nyingi zinazojengwa sasa wakati wake hazidumu kuna barabara nyingine zinaumuka sijui kuna tatizo gani ni kweli zamani tulikuwa na barabara chache lakini zilikuwa za ubora wa hali ya juu
 
Makambako to Songea si nzuri kihivo, kwa sasa kasi ya kuharibika imeongeza baada ya zile gari za makaa ya mawe kwenda Ngaka kuongezeka na kuwa namzigo mzito
 
Mheshimiwa Sugu umeongea ukweli kabisa.

Angalia hii barabara ya Mbeya kwenda Itungi port kwenye kile kipande cha Kyela.

Hii barabara ilijengwa mwaka jana mwezi wa 11 na 12 na angalia ilivyo sasa.

Magufuli chukua hatua vinginevyo hawa wezi watalifilisi hili taifa letiu.

Tuma vijana wako wachunguze. Hii ni kati ya Junction ya Kasumulu boarder mpaka Itungi port.
 

Attachments

  • Kalumbulu road1.jpg
    Kalumbulu road1.jpg
    108.6 KB · Views: 136
  • Kalumbulu road2.jpg
    Kalumbulu road2.jpg
    91.9 KB · Views: 127
  • Kalumbulu road3.jpg
    Kalumbulu road3.jpg
    74.3 KB · Views: 129
Magufuli anajua kucheza na vyombo vya habari na waandishi wetu vilaza barabara nyingi zinazojengwa sasa wakati wake hazidumu kuna barabara nyingine zinaumuka sijui kuna tatizo gani ni kweli zamani tulikuwa na barabara chache lakini zilikuwa za ubora wa hali ya juu
Kimsingi mjadala stahiki hapa si Magufuli au makandarasi bali ni kwa jinsi gani Tanzania inatakiwa kuimarisha usafiri wa reli ili kupunguza kutumia njia ya barabara kusafirisha mizigo mizito. Hata hizo barabara zijengweje hazitamudu uzito wa mizigo kwa muda mrefu. Ni wakati wa nchi kuimarisha usafirushaji kwa njia ya reli na mabomba. Hakuna haja ya malori ya mafuta kutoka dar kwenda tunduma. Kwa nini tusijenge bomba la kusafirisha mafuta?
Kuna watu wamekariri kuwa usafiri ni kwa njia ya barabara tu hapana. Kwa nini hakuna meli za kusafirisha mizigo dar kwenda Tanga au mtwara?
Magufuli hana makosa makubwa
 
Sugu angeiweka hii vizuri. Mwenzake Kafulila kasema vema asubuhi bila kuwa na reli bora nchini hizo barabara mtalaumiana tu. Link ya Makambako-Songea ina low traffic volume kulinganisha na maeneo mengi ya nchi na infact ujenzi ule wa lami ilikuwa na kuchochea maendeleo ya mkoa wa Ruvuma. Vinginevyo mkoa ungetengwa sana ule. Hata hivyo kwa sasa barabara imechoka kiasi kwamba serikali inatakiwa kuachana na type of maintenance inayofanyika ili kuokoa link hiyo. Kwa uchache nawasilisha.

jina lako limesawiri kile ulichoandika. ukweli ni kwamba barabara ya makambako_songea ni imara sana ukilinganisha na hizi za magufuli. Ipo tokea mwaka 1982 na inaendelea kudumu hadi leo cha ajabu hizi za sasa hazichukui hata miaka miwili.
 
Kwa kweli inasikitisha sana barabara zote walizojenga awamu hii ni majanga nyingine kabla ya makabidhiano wanaweka viraka.

Natangaza dau kwa mwanajamvi atakayetaja barabara mpya yenye kipande cha urefu wa zaidi ya km 3 ambacho hakina kasoro ya kuhitaji marekebisho
 
Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.

Mhashimiwa unapoteza muda na upo nje ya mada kidogo....

Cjui ni ushabiki ndio unakufanya ufumbie macho mambo muhimu kama ya barabara au na wewe ni mmoja wa wakandarasi wa kujenga hizo barabara, ni kweli barabara zinajengwa ila ni kwa kiasi kipi???
Aliyosema sugu yana msingi sana, safiri kwenda nyanda za juu kusini uone kuanzia morogoro utajua kama kodi yako inatendewa haki au la, pita barabara ya makambako songea utafahamu nini maana ya ukandarasi. Sio ubabaishaji unaofanywa na wakandarasi, angalia madaraja yanapukutika kila kukicha sio dar pekee wanapoishi waheshimiwa bali hata mikoani yaani ni aibu tupu.
Tuache ushabiki wakishamba...
.....ya kukariri kilomita za barabara na vipimo vyake sio ishu tena kama ndivyo vinavyo kuhamasisha utetee ujinga na uhafibufu basi haya...
 
waziwazi aka boya
..fuatilia na uelewe kabla ya kusema chochote...
Hoja ya uimara wa Makambako- Njombe-Songea ni ya kweli na ya msingi, lakini kwa mtu mwenye FIKRA HURU, anaefuata mkumbo hawezi kuliona hilo na kujiuliza!
 
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?

Mkiambiwa Watanganyika ni mburula ni kweli unatengenezewa barabara kwa mabilion ya mahela, inabomoka baada ya mwezi mburula ww unajitokeza na kusema bora ya hizo mbovu. Hivi ww unajitambua kweli, kinachotakiwa karne hii ifie mbali waje wajukuu zetu kuleta maendeleo. Kuliko mburula kama huyu
 
Tatizo la nchi yetu ni umaskini wa mawazo! Hoja nzito na ya msingi kama hii watu wanaijadili kijingajinga! Eti wengine wanasema ni bora hizo mbovu kuliko kukosa kabisa! Are you crazy??

Ukijadili hii hoja kwa kina utaona kuwa tatizo lipo serikalini! Nchi haiwezi kuendelea kwa kutengeneza barabara na kuzitumia kusafirisha mizigo mizito! Reli iko wapi?

Barabara zenyewe zinajengwa na wajasiriamali wa kichina kwa utaratibu wa Trial and Error!

My compatriots; it is a high time that we wake up now or else things will fall apart in this nation!
Mind you; the country is judged to be poor because we have wrong people (politicians) on top of everything!
 
itakua labda kamlipua kwenye verse za huipu hopu, lakini hana credentials za kuhoji utendaji wa magufuli. waliomchagua walikosa mbadala wake ila 2015 hawatakosea tena kumrudisha bungeni

...kweli mkuu 2015 tumeshapata mbadala - yule mwizi wa mataulo hotelini aka nyumba ndogo ya mkulu
 
Back
Top Bottom