Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,049
- 1,022
Sugu hanaga jipya kabisa;
afanye ......... another rap..........
Jipya unalo wewe usikute wewe ni lishangi.ngi fulani watu wa ccm hutumia kwa ki.burudi.sho
Sugu hanaga jipya kabisa;
afanye ......... another rap..........
magufuli tenda wema nenda zako usingoje shukrani hawa wapinzani ni kama watoto wa kambo hawana shukrani wala ahsante wakipewa wanalalamika wakinyimwa pia wanalalamika mvua hizi za mwaka huu kuharibika miundo mbinu na akitokea mpuuzi kulalamika wala usimshangae kwa vile mwanakharamu hata umweke katika chupa lazima ataonesha kidole mie nimo humu chapa kazi baba achana na hayo makawa hayana jipya!
Mhashimiwa unapoteza muda na upo nje ya mada kidogo....
Cjui ni ushabiki ndio unakufanya ufumbie macho mambo muhimu kama ya barabara au na wewe ni mmoja wa wakandarasi wa kujenga hizo barabara, ni kweli barabara zinajengwa ila ni kwa kiasi kipi???
Aliyosema sugu yana msingi sana, safiri kwenda nyanda za juu kusini uone kuanzia morogoro utajua kama kodi yako inatendewa haki au la, pita barabara ya makambako songea utafahamu nini maana ya ukandarasi. Sio ubabaishaji unaofanywa na wakandarasi, angalia madaraja yanapukutika kila kukicha sio dar pekee wanapoishi waheshimiwa bali hata mikoani yaani ni aibu tupu.
Tuache ushabiki wakishamba...
.....ya kukariri kilomita za barabara na vipimo vyake sio ishu tena kama ndivyo vinavyo kuhamasisha utetee ujinga na uhafibufu basi haya...
Ona taahira jingine hili hapa! Hapana anayejenga ni ma.mako!
Akichangia jioni hii Mhe Sugu amesema kuwa Mhe Magufuli hafanyi kazi kitaalamu bali anapiga siasa tuu ili kupumbaza watu. Amesema kuwa hizo barabara anazojisifia na zinazotumia mabilioni mbona baada ya miezi michache zinqumuka na kuhitaji matengenezo makubwa wakati kuna barabara za zamani kama Makambako -Songea ni za zamani na bado zinahimili zaidi ya hizi?
Pia amezungumzia makampuni ya kigeni kama Strabag kuwazulumu vibarua wazawa naye kukaa kimya kwa hilo zaidi ya kujisifia binafsi.
Kamaliza na kusema kama anajipigia debe la urais huko asahau bali mahali panapo msahili ni jela kwa kushiriki kwake ubadhilifu
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?
verry stupid comment of the year.
Kwani magufuli ndiyo anajenga barabara majitu mengine hasara kweli.
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?
Sugu uwezo wake wa akili ni mdogo sana, ndio maana anakosa heshima kwa wanaomzidi umri. Pia ile kitu anayovuta inampeleka kasi sana.
Si bora mmepata hizo mbovu? Je mngekosa kabisa?
Hivi mbeya jiji zima mliona huyu ndo m2 wa kuwasilisha mawazo yenu bungeni? ok any way ndo demokrasia hiyo.
NB: Magufuli ni vema huyu usimjibu endelea na shughuli zako, hapa Nyamirembe na Kazunguti mpaka kachwamba jimboni chato maji hayafiki kutokea ziwani tafadhali jitahidi kutatua na Mungu akubaliki sana kazi yako tunaiona na kukuombea sana Maana Magufuli vs Sugu..... ni almas vs kinyesi.
verry stupid comment of the year.