kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,807
Serikali huwa inapeleka hela za miradi ya maendeleo kila jimbo na na ni kwa kila mwaka.tatizo ni kuwa wabunge wengi wa ccm hawana huruma na fedha hizo,huzifanyia ufisadi wa kutisha na hivyo kusababisha majimbo mengi yanayoongozwa na wabunge wa ccm kudorora kimaendeleo.