Sugu aitakatisha Mbeya

Sugu aitakatisha Mbeya

Sugu alikuwa anapita bar kuomba bia hii leo ana utajiri wa kutisha...pesa za mfuko wa jimbo badala ya kujengea zahanati yeye kaenda kujijengea jumba la kifahari...

gamba kazini,watu wenye akili za magamba utawajua tu...kama sugu analipwa 11.2m kama mbunge kwa nn asijenge jumba la kifahari unalosema!
 
Ilikua wapi miaka 50 yote ilopita kama sio juhudi za sugu???
Mbunge anapata wapi hela ya kutakatisha mji acheni kudanganyana kama mko shule ya vidudu serikali ndo imefanya hivyo pongezi ni kwa serikali na si kwa huyo mpiga ngumi bungeni
 
Sugu alikuwa anapita bar kuomba bia hii leo ana utajiri wa kutisha...pesa za mfuko wa jimbo badala ya kujengea zahanati yeye kaenda kujijengea jumba la kifahari

Ndio tatizo lenu magamba nyie mshazoea wizi,nenda mbulu kule jimbo lilikuwa la mh Philip Marmo amekuwa mbunge miaka zaidi ya 20 hakuna alichokifanya ameingia AKUNAY watu wameona mabadiliko,sasa wewe unaambiwa mbeya kuna mabadiliko utaki kukubali,dar wabunge karibia wote wa CCM ilala,kinondoni sasa huo uchafu ni aibu,MNYIKA ubungo ameekuta kuna tatizo la maji angalau sasa watu mabomba yanatoa maji bado MACCM mna ponda nyie hamjawai ona jema la CHADEMA ni kejeli kama baba yenu JK nimeaambiwa,nimeetaarifiwa nimeletewa tembea uone acha uvivu kama wa JK yeye ana uwezo wa kufuatilia kesi za madaw ya kulevya za mwanae RITZ1
 
ndio hapo utaona ujinga watz. hizo ni programu za serikali kuboresha barabara kuu na za miji. kuna siku watsema mchungaji wa Iringa ndio kajenga Dodoma hadi Iringa. hao jamaa hamna kitu ni robbots
Mbunge anapata wapi hela ya
kutakatisha mji acheni kudanganyana kama mko shule ya vidudu serikali
ndo imefanya hivyo pongezi ni kwa serikali na si kwa huyo mpiga ngumi
bungeni
 
Toka kijana aingie hapa mbeya mjini, jimbo limekua zuri likipambwa na lami kila sehemu,. Kuanzia soko Marola, Soweto, Sae mpaka Teku kote ni lami kila sehemu,. Maboresho ya huduma za afya na shule zote za kata na zisizo za kata yamepambama moto,.

Kweli mbeya imepata mbunge wengi wanatamani hyu kijana awe ni mbunge wa kudumu,.
Sugu kipenzi cha wana Mbeya na kwenye michezo ndio usiseme kama mnavoskia halmashauri anayoiongoza ina timu ya mbeya city inayosonga mbele kwa spidi ya moto wa gesi,.

Wamachinga na wafanyabiashara sasa apa mbeya wanafanya biashara kama kweli ni watamzania manyanyaso hamna,.
Nani kama sugu,.

Nawashaurini 2015 watz popote msifanye makosa tuigeni wana Mbeya
Soko marola ndiyo soko gani we upo mbeya kweli kwenda zako,
kumbe sugu sigu hizi anajenga barabara,
sugu aache kupigana ajenge barabara we hewa kweli.
 
mkuu acha kupotosha watu, sugu atapata wapi hela ya kutengenezea lami.. huo ni msaada kutoka world bank.
pia kubadilika kwa mbeya kumechangia kwa ongezeko la wawekezaji na sio sugu.
 
Toka kijana aingie hapa mbeya mjini, jimbo limekua zuri likipambwa na lami kila sehemu,. Kuanzia soko Marola, Soweto, Sae mpaka Teku kote ni lami kila sehemu,. Maboresho ya huduma za afya na shule zote za kata na zisizo za kata yamepambama moto,.

Kweli mbeya imepata mbunge wengi wanatamani hyu kijana awe ni mbunge wa kudumu,.
Sugu kipenzi cha wana Mbeya na kwenye michezo ndio usiseme kama mnavoskia halmashauri anayoiongoza ina timu ya mbeya city inayosonga mbele kwa spidi ya moto wa gesi,.

Wamachinga na wafanyabiashara sasa apa mbeya wanafanya biashara kama kweli ni watamzania manyanyaso hamna,.
Nani kama sugu,.

Nawashaurini 2015 watz popote msifanye makosa tuigeni wana Mbeya
Kwa maelezo yako hapa unataka kutuambia kuwa Sugu ndie mkurugenzi wa jiji, pia ndiye Meya na pia ndiye halmashauri nzima ya jiji? Nijuavyo mimi, Sugu hawezi kufanya yote hayo bali ni juhudi za wadau mbalimbali wa jiji la Mbeya ndio wamewezesha jiji hilo kupata umaarufu huo.
 
Walikua wapi miaka yote kama sio wabunge wenye uwelevu kuwabana hawa magamba wa ccm
ndio hapo utaona ujinga watz. hizo ni programu za serikali kuboresha barabara kuu na za miji. kuna siku watsema mchungaji wa Iringa ndio kajenga Dodoma hadi Iringa. hao jamaa hamna kitu ni robbots
 
Toka kijana aingie hapa mbeya mjini, jimbo limekua zuri likipambwa na lami kila sehemu,. Kuanzia soko Marola, Soweto, Sae mpaka Teku kote ni lami kila sehemu,. Maboresho ya huduma za afya na shule zote za kata na zisizo za kata yamepambama moto,. Kweli mbeya imepata mbunge wengi wanatamani hyu kijana awe ni mbunge wa kudumu,. Sugu kipenzi cha wana Mbeya na kwenye michezo ndio usiseme kama mnavoskia halmashauri anayoiongoza ina timu ya mbeya city inayosonga mbele kwa spidi ya moto wa gesi,. Wamachinga na wafanyabiashara sasa apa mbeya wanafanya biashara kama kweli ni watamzania manyanyaso hamna,. Nani kama sugu,. Nawashaurini 2015 watz popote msifanye makosa tuigeni wana Mbeya
teh teh teh teh teh kweli wewe ni kiazi kweli kweli. Sugu yupi? au huyu huyu bongoflavery? kilaza? or kiplati? he he utavunja mbavu watu acha utani.
 
Soko matola mkuu, kama huna cha kuchangia kachukue posho yako, mi nipo mbeya
Soko marola ndiyo soko gani we upo mbeya kweli kwenda zako,
kumbe sugu sigu hizi anajenga barabara,
sugu aache kupigana ajenge barabara we hewa kweli.
 
mkuu acha kupotosha watu, sugu atapata wapi hela ya kutengenezea lami.. huo ni msaada kutoka world bank. pia kubadilika kwa mbeya kumechangia kwa ongezeko la wawekezaji na sio sugu.
lakini tusishangae kauli za vijana wa Bavicha ivisasa wanamwandaa lady Jdee kugombea Musoma vijijini na Rc kugombea ilala. kweli chadema kama bongo flaver
 
Ni furaha kusikia kitu km hicho na ninaona wivu sn kwan mimi mbunge wetu alituambia mtake msitake nitashinda na kweli akashinda.Ongera zenu mliochagua sugu,Sie tulimchagua f mpendazoe akashinda wa ccm
 
Back
Top Bottom