Sugu aitakatisha Mbeya

Sugu aitakatisha Mbeya

Toka kijana aingie hapa mbeya mjini, jimbo limekua zuri likipambwa na lami kila sehemu,. Kuanzia soko Marola, Soweto, Sae mpaka Teku kote ni lami kila sehemu,. Maboresho ya huduma za afya na shule zote za kata na zisizo za kata yamepambama moto,.

Kweli mbeya imepata mbunge wengi wanatamani hyu kijana awe ni mbunge wa kudumu,.
Sugu kipenzi cha wana Mbeya na kwenye michezo ndio usiseme kama mnavoskia halmashauri anayoiongoza ina timu ya mbeya city inayosonga mbele kwa spidi ya moto wa gesi,.

Wamachinga na wafanyabiashara sasa apa mbeya wanafanya biashara kama kweli ni watamzania manyanyaso hamna,.
Nani kama sugu,.

Nawashaurini 2015 watz popote msifanye makosa tuigeni wana Mbeya

kwa tulipofikia kumezeshana sumu sioni nani atakayemtetea myonge!! leo hii nilimpeleka mwanangu hospital ya jiji kiwanjampaka (sokomatola) niliyoyakuta huko nililazimika kuwauliza wafanyakazi kama ifuatavyo; mpo wangaji majibu yakawa 69 reception iko wapi? ipo hapa nje tulipo si unamuona yule mhudumu na meza yake pale!!!, kwa nini nje? hakuna vyumba? kwani wizara ya afya imeleta waganga wa kutosha (AMO karibu kumi) nao vyumba hakuna na hata kule tunakopimia haja nzito kunavuja. pia nilipata bahati ya kumuuliza mfamasia wa jiji kujua idadi ya wagonjwa kwa siku akasema wanaokuja kwa ushauri nasaha kwa siku ni zaidi ya 100, uzazi wa mpango zaidi ya 100 wagonjwa pia ni vivyo hivyo. kesha nitaleta kwenu picha ya majengo muweze kuona uongo unaoendele mbeya kutoka kwa wapuuzi waliolewa itikadi isiyo na tija kwa wanambeya
 
We ni kinyesi nimekwambia a.k.a chakula cha nzi huna hadhi ya kubishana na mimi mtegemea ajira ww
Huna haja ya kutuonyesha vyeti nenda kwa Sugu akakupe kazi.
Kwa ugoro uliobandika, hivyo vyeti vitakufaa ukorokoroni tu.
 
We ni kinyesi nimekwambia a.k.a chakula cha nzi huna hadhi ya kubishana na mimi mtegemea ajira ww
Kwamba you are an uncivilised person is very clear to everyone huna haja ya kujitangaza, bangi mbaya!
 
hebu fafanua kwa kina mtoa mada
Sugu kawekaje lami?
Hiyo ni kazi ya mbunge au ni mipango ya serikali?
Nijuavo halmashauri ya jiji wametoa fungu la kuweka lami
na zingine Tanroad.. Sugu kahusikaje hapo? labda kupigania iwekwe labda?
make it clear
labd utuambie machinga wamehamasika kuchangia kodi na wafanyabiashara wengine
labda utuambie uhusika wake katika hili.........
Napinga hili kwa sababu kuna watu wa CCM wanatuaminsha JK amejenga barabara
wakadiriki kusema CCM wamejenga barabara,
kwa hili la Sugu nahitaji ufafanuzi
 
Sugu alikuwa anapita bar kuomba bia hii leo ana utajiri wa kutisha...pesa za mfuko wa jimbo badala ya kujengea zahanati yeye kaenda kujijengea jumba la kifahari...

Dogo kipindi sugu anapigana kupandisha hip hop hata mziki ulikuwa huujui!
 
Sina uhakika na unachoongea.

Mbona huweki barabara inayo anzia njia panda Oilcom Mabatini,inaenda unga na Ile itokayo Majengo mpaka machinjio ya zamani Kata ya Itiji?

Vipi na hizi mpya zinazojengwa kata ya maendeleo (barabara ya tatu)?

Umefika kata ya Majengo?

Ghana je? masopakyindi kwa lugha yetu tafsiri yake ni ulafi...sasa wewe ni mlafibwa UONGO?
Maana hiyo barabara ipo kwenye ujenzi ila kila post inayohusu Mby lazima uibandike......

Mleta Mada..
Sugu katoa shilllingi ngapi kufanikisha Hayo uliyoyataja ?
 
Last edited by a moderator:
Mbunge anapata wapi hela ya kutakatisha mji acheni kudanganyana kama mko shule ya vidudu serikali ndo imefanya hivyo pongezi ni kwa serikali na si kwa huyo mpiga ngumi bungeni

Tafuta hansard ya bunge ucheki speech zake tangu awe mbunge. Kubwabwaja kwake ndiko kulikofanya mradi wa WB upelekwe mbeya. Miaka yote mbeya imekuwa mkoa wa pili/tatu kwenye makusanyo ya kodi lakini barabara za lami zikawa uhindini tu! Sasa hivi mbeya hata ambulance zipo kibao baada ya sugu kupigia kelele, wananchi hawapati tena shida wakipata referal kwenda hospitali nyingine kama zamani. Serikali hii bila kuipigia kelele haiwezi kufanya chochote
 
Sugu alikuwa anapita bar kuomba bia hii leo ana utajiri wa kutisha...pesa za mfuko wa jimbo badala ya kujengea zahanati yeye kaenda kujijengea jumba la kifahari...

Ulitaka akuhonge wewe ?????
 
acha uongo,mbeya hawataki ata kusikia habari za sugu tena...kila siku kupigana bungeni wanambeya wameshamchoka hafanyi walichomtuma.


Ni kikao gani walikaa hao wanambeya,wakakujulisha kuwa hawataki hatakusikia habari za Sugu,tena kila siku kupigana! Mbona jana,juzi au mwezi huu na hata mwezi ulio pita mimi mwanambeya sija sikia wala kuona kama Mh.Sugu kapigana! Na hata hilo Bunge linalokuwa na vikao kila siku ambalo Mh.sugu anapigana ni lipi?! Au ndiyo zile habari za kusikia,kuambiwa kulezwa,kuhabarishwa,fitina,majungu,uzandiki n.k! Sasa tafadhali unapo ongea au kutuhabarisha kuwa makini kidogo ndugu,hili jamvi ni la watu makini!!
 
Sugu alikuwa anapita bar kuomba bia hii leo ana utajiri wa kutisha...pesa za mfuko wa jimbo badala ya kujengea zahanati yeye kaenda kujijengea jumba la kifahari...

Hujui hata namna fedha za mfuko wa jimbo zinavyotumika. Hazikai mkononi mwa mbunge mdogo wangu. Aafu nyumba ya sugu mnaikuza tu, wakinga kibao wana nyumba nzuri kuliko ile mbeya. Sugu anapata m11 kwa mwezi+marupurupu mengine kibao na ananafasi ya kukopa zaidi ya m200 benki. Atashindwa kujenga nyumba kama ile? Jua pia sugu hakuwa fresh from school kama kina mkosamali.
 
Mbunge anapata wapi hela ya kutakatisha mji acheni kudanganyana kama mko shule ya vidudu serikali ndo imefanya hivyo pongezi ni kwa serikali na si kwa huyo mpiga ngumi bungeni

Serikali ya halmashauri ya jiji la mbeya ambayo mbunge wake ni Mh.Joseph Mbilinyi a.k.a Mh.Sugu.
 
Hayo mabadiliko na hiyo misaada ya World Bank vilikuwa vinamsubiri Sugu awe mbunge ndiyo vifanyike? Akiwa chama cha upinzani? Ok, kumbe mbunge anastahili pongezi za dhati. Wananchi tunaona tofauti ya majimbo yaliyo upinzani na yale ya ccm, wala si suala la mtu kujilazimisha kuelezea wakati pengine hata mtu hajafika hata mara moja.

Mkuu unajua hata wanaCCM wapenda maendeleo na wachukia ufisadi watakueleza umuhimu wa watu kama Sugu ktk mabaraza ya madiwani wa halmashauri/manispaa/jiji. Kwasababu mtandao wa wizi wa fedha za miradi ukianzia ktk halmashauri,mkoa mpaka taifa ukishirikisha watendaji na wanasiasa wa chama tawala!

Kama kuna mtendaji ama mwanasiasa alipinga wizi wa fedha za umma alikumbana na mkono wa mtandao! Wakamwulize waziri Mwanri atakwambia madudu ktk halmashauri zinazo ongozwa na maCCM!
 
Ameyabana mapanya maccm ndo lami zikajengwa, leta swali lingine,. Kifupi sugu mwamasishaji wa maendeleo
hebu fafanua kwa kina mtoa mada
Sugu kawekaje lami?
Hiyo ni kazi ya mbunge au ni mipango ya serikali?
Nijuavo halmashauri ya jiji wametoa fungu la kuweka lami
na zingine Tanroad.. Sugu kahusikaje hapo? labda kupigania iwekwe labda?
make it clear
labd utuambie machinga wamehamasika kuchangia kodi na wafanyabiashara wengine
labda utuambie uhusika wake katika hili.........
Napinga hili kwa sababu kuna watu wa CCM wanatuaminsha JK amejenga barabara
wakadiriki kusema CCM wamejenga barabara,
kwa hili la Sugu nahitaji ufafanuzi
 
santeeeeee sana Muheshimiwa kama haya yanayoongelewa hapa umeyafanya kweli.
Nalog off
 
Back
Top Bottom