ndio hapo utaona ujinga watz. hizo ni programu za serikali kuboresha barabara kuu na za miji. kuna siku watsema mchungaji wa Iringa ndio kajenga Dodoma hadi Iringa. hao jamaa hamna kitu ni robbots
Kumbe mnajua shuguli za maendeleo haziletwi na Wabunge bali Serikali ila tu mnajitoaga ufahamu.