Boutafrica
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 949
- 2,065
Kuna Rafiki yangu flan amenipigia simu kutoka Botswana anahitaji Sufi au sufu lile zao linalofanana na pamba.
Kiufupi ameniambia anahitaji tone 60 kwa awamu hii ya kwanza then awamu ya pili atahitaji tone 140 december mwaka huu.
Tone 1 anainunua kwa Tshs 600,000
na haijalishi upo mkoa gani kikubwa akukute nao huo mzigo.
Sasa kiukweli mimi sifahamu ni mkoa gani unapatkana hilo zao kwa wingi so naomba kwa anaejua zaidi mkoa inapopatikana hii product hapa Tanzania.
Kama unafahamu ilipo au unaweza kuipata nichek inbox nikuunganishe nae.
Kiufupi ameniambia anahitaji tone 60 kwa awamu hii ya kwanza then awamu ya pili atahitaji tone 140 december mwaka huu.
Tone 1 anainunua kwa Tshs 600,000
na haijalishi upo mkoa gani kikubwa akukute nao huo mzigo.
Sasa kiukweli mimi sifahamu ni mkoa gani unapatkana hilo zao kwa wingi so naomba kwa anaejua zaidi mkoa inapopatikana hii product hapa Tanzania.
Kama unafahamu ilipo au unaweza kuipata nichek inbox nikuunganishe nae.