Sheffer95
Senior Member
- Mar 16, 2020
- 197
- 460
Habarini za asubuhi, nikiwa na masikitiko makubwa naomba ni address hili suala la mafuta kiukweli limekuwa zaidi ya changamoto
Sikudhani hali ingefikia huku yaani leo nikiwa safarini mkoani nikipita huku maeneo ya Chunya Mbeya mji mzima ni shell moja tu ndio inayouza mafuta
Na hiyo foleni ya magari, pikipiki na vyombo vinginevyo ni kubwa umbali wa mita 400 watu wamepanga foleni kupata mafuta wengine kutokea saa 12 asubuhi
Hivi serikali inaliona hili?
Hivi serikali imeshindwa kutatua hii changamoto?
Inakuwaje serikali haitaki kukubali kwamba nchi ipo kwenye state of emergency? Na wote waliohusika kuleta kadhia hii wakachukuliwa hatua maana ni wahujumu
Huduma hazipatikani, uzalishaji have hauendelei sababu ya hili
Shabiby alisuggest watu binafsi wenye uwezo wapewe ruhusa kuagiza mafuta yao na ewura wabaki kuwa regulators kwann mnashindwa kutoa hivyo vibali mnataka mfumo wenu wa kuagiza bulk
Hakika kwa hili nililolishuhudia leo Chunya, CCM mna kazi sana 2025
Sikudhani hali ingefikia huku yaani leo nikiwa safarini mkoani nikipita huku maeneo ya Chunya Mbeya mji mzima ni shell moja tu ndio inayouza mafuta
Na hiyo foleni ya magari, pikipiki na vyombo vinginevyo ni kubwa umbali wa mita 400 watu wamepanga foleni kupata mafuta wengine kutokea saa 12 asubuhi
Hivi serikali inaliona hili?
Hivi serikali imeshindwa kutatua hii changamoto?
Inakuwaje serikali haitaki kukubali kwamba nchi ipo kwenye state of emergency? Na wote waliohusika kuleta kadhia hii wakachukuliwa hatua maana ni wahujumu
Huduma hazipatikani, uzalishaji have hauendelei sababu ya hili
Shabiby alisuggest watu binafsi wenye uwezo wapewe ruhusa kuagiza mafuta yao na ewura wabaki kuwa regulators kwann mnashindwa kutoa hivyo vibali mnataka mfumo wenu wa kuagiza bulk
Hakika kwa hili nililolishuhudia leo Chunya, CCM mna kazi sana 2025