Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
pole siku moja utapata unayempenda huyo wa kwanza na wa pili wote hawakufai
 
mdogo wangu mie mzima ila tu uncles wako wanagonjoka so niko home since jana.
hili saga wee liache tu mie nalijua ntakusimulia baadae

What is going on behind these stories. mnawasiliana humu, mnagegedana huko, yakiwakuta mnaaza kuumbuana humu. I wish kila mtu aweke picha yake tuwaone.
 
mdogo wangu mie mzima ila tu uncles wako wanagonjoka so niko home since jana.
hili saga wee liache tu mie nalijua ntakusimulia baadae

Hakikisha unalijua kweli, usije kufanya wrong conclusions.
 
Dahhhh!..... Ama kweli nimepitwa na mastory ya #MMU .

Pole mwanadada.
 
Yaani shule secondary,chuo,offcn kote huko umekosa mtu wa kukufaa unatafuta magurubembe ya JF????think twice nakushauri katafutie huko kanisani tu.
 
Uwiiiiii Yaan siku hizi wanaume mmekuwa lugumya kweliii mnataka kulelewaaa tu aisee hata mi siwezii yaan uhamie kwangu nikupe pesa,unitukane nikuangalie tuuu weeee mbona wanaume wenye tabia nzuri wapo tu japo wanazidiana tabia mbaya na nzurii

Tena humu Jamii wanaume Marioo wapo kibao wengi wanaishi makwao na ni wakubwa wanatakiwa wawe na miji yao mmxxxxiiuuu mnaboajeeee !!!!
Uzuri una kazi umesoma mume atakuja hata kanisani utampata tu jamanii

Jaman wanaume wachache siku hizii mi ngoja nimng'ang'anie Msukuma wangu Mungu amjaalie tabia njema milele loo ye hata akikwama ntamlea tu na vocha ntamuwekea

Kwako dada usione wanaume humu wanaandika andika na kujifanya wanazo wamesoma hamunaaaa tunaowajua ni wachache tu wenye misimamo na kujitambuaaaa
Mario yeyote asiniquote apitilizeeeee mfyuuuu miss chagga, lara1 hebu yaoneni mamariooo yanaudhiii

Hahaaa bi shoga umenikosha na hii koment.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha lol!!!! Labda Bro uko busy na soulmate wako na lile jukwaa lingine muhimu kwetu sisi. By the way simuoni siku hizi hapa sijui umemficha wapi? 🙂🙂🙂

Dahhhh!..... Ama kweli nimepitwa na mastory ya #MMU .

Pole mwanadada.
 
Haaa dume zima ovyooo ptuuuu embu pita kule unakiherehere ka mkojo wa asubuh mav ww unapenda kuogopwa sasa kwa taarfa yakooo wanaokuogopa haohao sio mimi kujifanya unajua kuongea point ili usifiwe si ukaanzishe jukwaa lakoo.....

Na hamu haya matusi ningekua natukanwa mieee teh the
Punguza munkariiiii tumboo
 
Last edited by a moderator:
Dah!!!! Manyanyaso yote haya nawe ukaendelea kuyapotezea tu kisa nini eti UMEPENDA!!!!! Watu wengine mna moyo, mwingine ile kutusiwa mara ya kwanza tu ingekuwa sababu tosha ya kumtosa huyu taahira.
 
Dear dalaber!! kwanza pole kwa yaliyokukuta na Hongera kwa kiwango kikuu cha Uvumilivu ulichokionesha ktk dunia ya leo. Ila ulipoweka hili jambo hapa jamvini umekosea kitu kimoja(japo ilisema ndyo mapungufu yako) haujashiriki kabisa ktk mjadala umemjib mmoja tu lakini kama ungeshiriki kikamilifu kwa kuwajib waliookuuliza woote ungepata kitu kikubwa zaid na hope kingekuwa mihum saana. Then nakushauri huyu mpya wa JF uliyempata naye mpige chini fasta then anza upya Usiharakie sana hizo ndoa you just wait muda ukifika utaolewa tu. May Almigth God akusaidie kwanza uweze kujichanganya na jamii inayokuzunguka and Upate mwenza atakaye kupa furaha Maishani.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom