Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
We nae siku hizi umekuwaje sijui kashasema hataki jamaa ajue kama ni yeye wewe unaleta maswali tena....

BTW Hujambo?


Hivi unafikiri hapo jamaa hajajijua tu? Maelezo yako wazi sana na watu washafukunyua aliyetafuta she/male kwenye love connect. Ila dah, jf ni zaidi ya uijuavyo, ID 7?

Mi sijambo kabisa, Mungu ananishindia.
 
Afu ww unajifanyaga unaakil sana pumba.vu zakoo pumba zpo uko chin kwako nyang'au mkubwa weeee kila ck waga nakuangalia tu tena sk nyingne ukikuta koment yangu upitie mbal

Naanza na hii siipitii mbali wewe ni bwegge jinga kabisa au niweke thread zako hapa ushuhudie upumbavu wako? wenzio wakati tunajiunga JF hatukuivamia kwa pupa, Tumboo akili utumbo.
 
ukweli japo wanaume mtachukia.... wanaume wakuniomba pesa, uwezi kujisimamia, kuja kukaa kwangu na kunikopa hela ... kiukweli siwezi huo upuuzi kabisa.. usiponiambia unafanya nini siyo ishu muhimu nione maisha yanaenda na uniwekei mzigo ..... unauvumilivu kwa kweili jianaume linajua kusimamisha tu lakini awezi kutafuta nguvu za kusimamisha acha kabisa....
 
yani hii kali kwa kweli tena ana miaka 44 na bado anakaa kwa mama yake,kweli huyo mwanaume hamnazo,anajua kugawa mbegu tu
Anaitwa yahaya wa lady jay dee..
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: lin
Na wee unazan kila unachoandika kila mtu huaga anakipenda shetan wewee tena ukoomeee nyambafuuu dume zima ovyooo.....nlikua nakuheshim ndio maana mara nyingi ukinchokozaga nakupigiaga kimya saa naona leo umechokoza nyuki kwenye mzinga......kila mtu ana uhuru wa kuandika anachojiskia kama ni pumba ulijuaje kama sio na ww ni mmoja wapo wa hizo pumba kaanzishee jukwaa lakoo jingaa weee
Umenuna? dawa ya kichefu ni ndimu au kama umechukia fanya hivi;

Kwakuwa wewe ni mshamba wa Moro chukuwa shuka na mto wako kisha nenda katandike kwenye barabara ya kwenda Dodoma lala hapo.
 
ukweli japo wanaume mtachukia.... wanaume wakuniomba pesa, uwezi kujisimamia, kuja kukaa kwangu na kunikopa hela ... kiukweli silei huo upuuzi kabisa.. usiponiambia unafanya nini siyo ishu muhimu nione maisha yanaenda na uniwekei mzigo ..... unauvumilivu kwa kweili jianaume linajua kusimamisha tu lakini awezi kutafuta nguvu za kusimamisha acha kabisa....
Mh..mada imekuingia? Halafu nlidhani ni wewe ndio umeandiaka hili liuzii, hebu nitoe mashaka pls......
 
ukweli japo wanaume mtachukia.... wanaume wakuniomba pesa, uwezi kujisimamia, kuja kukaa kwangu na kunikopa hela ... kiukweli silei huo upuuzi kabisa.. usiponiambia unafanya nini siyo ishu muhimu nione maisha yanaenda na uniwekei mzigo ..... unauvumilivu kwa kweili jianaume linajua kusimamisha tu lakini awezi kutafuta nguvu za kusimamisha acha kabisa....
Mwanaume atakayechukia maelezo yako atakuwa na matatizo makubwa,

Kuna watu nawafahamu ni madalali wa bidhaa pale sokoni kariako wanapiga pesa nzuri kila siku, naunga mkono hoja yako ili mradi mwanaume siyo jambazi na anajitambuwa na anajitahidi kuonesha nafasi yake kama mwanaume katika majukumu ya nyumbani go for him bila kujari kazi yake.

Kuna mijanamke mazuzu inatombwatombwa hovyo kisa jamaa sijui anafanya kazi ubalozi wa Uingereza wakati hata mia yake huioni ujinga huu.
 
ukweli japo wanaume mtachukia.... wanaume wakuniomba pesa, uwezi kujisimamia, kuja kukaa kwangu na kunikopa hela ... kiukweli silei huo upuuzi kabisa.. usiponiambia unafanya nini siyo ishu muhimu nione maisha yanaenda na uniwekei mzigo ..... unauvumilivu kwa kweili jianaume linajua kusimamisha tu lakini awezi kutafuta nguvu za kusimamisha acha kabisa....

Ngoja ufike miaka 35 kama ujafanya kama mwenzako na mpaka mahali na harusi utagharamia mwenyewe.ongea maneno hayo sababu una 20
 
free p alafu unaombwa tena hela looooh kuna watu wana moyo

yaani mimi mvulana anaiambie tu nipunguzie vocha nipo sehem siwez kupata nitamuuliza maswali hatorudia

ila hili ni tatizo la kuingia kwenye uhusiano na mtu asiekua na muelekeo

yani mimi ilikuwa hata ukini beep tu tayari naku disqualify
 
Duh so xory bt mtafutaj hachok na baada ya dhiki n faraja na mvhumia juani hulia kivulini usfe moyo 1 day will be yes
 
Naanza na hii siipitii mbali wewe ni bwegge jinga kabisa au niweke thread zako hapa ushuhudie upumbavu wako? wenzio wakati tunajiunga JF hatukuivamia kwa pupa, Tumboo akili utumbo.

Kaka ujumbe umeshamfikia.inatosha mkubwa anaonywa Mara moja
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom