Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
First of all control ur desperation maana hiyo ndio matokeo yake.

Pili mimi siamini kwenye uhusiano wa online. Umesema umesoma sana,ina maana kuwa shuleni kote huko hakuna wanaume ambao wana jitambua ulikutana nao? Kanisani huwa huendi? Kwenye harusi? Huna hata marafiki wawili ambao unaiva nao na mnaendana uwe unatoka nao sehemu ambazo unazipenda?

Hata uwe antisocial vipi lazima swali moja hapo litakuhusu otherwise wewe ndio utakuwa tatizo zaidi kuliko hata hiyo desperation na hao wanaume wa ajabu unao kutana nao.

Kuna sehemu na namna nyingi ambazo unaweza kukutana na mwenzi mkajenga urafiki na kufahamiana.Kuwa antisocial sio sifa lakini kuwa unajiachia sana nayo ni tatizo hivyo anza kujichanganya na usiwe desperate sana just take your time kumjua mtu na si kukimbilia ndoa.

All the best
 
free p alafu unaombwa tena hela looooh kuna watu wana moyo

yaani mimi mvulana anaiambie tu nipunguzie vocha nipo sehem siwez kupata nitamuuliza maswali hatorudia

ila hili ni tatizo la kuingia kwenye uhusiano na mtu asiekua na muelekeo

Aiseeeee!!!!!!!! yani wewe bado unahangaika na wavulana? ndio maana unafikiria kuombwa vocha, shituka wewe mvulana anakula vya shikamoo, bado na wewe unataka akugawie kidogo akikupiga mzinga wa vocha unaandaa maswali kama self defanse, tabu kweli tafuta mababazzzzz pochi nene akitoa ametoa hakumbuki atakachorudisha:A S 101::A S 101:
 
Aiseeeee!!!!!!!! yani wewe bado unahangaika na wavulana? ndio maana unafikiria kuombwa vocha, shituka wewe mvulana anakula vya shikamoo, bado na wewe unataka akugawie kidogo akikupiga mzinga wa vocha unaandaa maswali kama self defanse, tabu kweli tafuta mababazzzzz pochi nene akitoa ametoa hakumbuki atakachorudisha:A S 101::A S 101:

Mi baba mizimaaa mda mwingine inakuomba vocha bila hayaaa au nipigie we si vocha unawekewa kazini! Nyoooooo!
 
Aiseeeee!!!!!!!! yani wewe bado unahangaika na wavulana? ndio maana unafikiria kuombwa vocha, shituka wewe mvulana anakula vya shikamoo, bado na wewe unataka akugawie kidogo akikupiga mzinga wa vocha unaandaa maswali kama self defanse, tabu kweli tafuta mababazzzzz pochi nene akitoa ametoa hakumbuki atakachorudisha:A S 101::A S 101:

nimemaanisha jinsia ya kiume na zi watoto wadogo

majibaba yanapenda kuvunja kabati bora nijiwezeshe mwenyewe kuliko kuwa na either marioo aniombe hela au jibaba linivunje kabati

NAJIWEZA PESA SI TATIZO sanaaa za kula tu na cocha na kodi na vitu vya hapa na pale
 
Mpe pole jamani, vibaya kumcheka mwenzio atii
Sio kila kicheko ni ishara ya furaha.

Sijaona sababu ya kumpa pole ndio maana nikamtia moyo aendelee kutafuta atapata tu, huyu bado ni mtafutaji kumpa pole ni kumkatisha tamaa!
 
Mi baba mizimaaa mda mwingine inakuomba vocha bila hayaaa au nipigie we si vocha unawekewa kazini! Nyoooooo!

hahahahahaha yaani kuna watu ni kwikwi sana
yaani wale wanaume wakutoa magari hivi wako wapi jamani maana tunakoenda TUTAOA
 
Mi baba mizimaaa mda mwingine inakuomba vocha bila hayaaa au nipigie we si vocha unawekewa kazini! Nyoooooo!

Kusaidiana bwana, kwani wadada tu ndio mna haki ya kuomba? Mbona mnaleta memes zilipendwa? Kuombwa vocha wala sio ishu bwana couples kupeana cmpy aint a thing to rant as a python hood!! Imagine rent inalipa 50/50, fuel/gari mnashea..kuombana vocha itakua ishu kweli?
 
Kusaidiana bwana, kwani wadada tu ndio mna haki ya kuomba? Mbona mnaleta memes zilipendwa? Kuombwa vocha wala sio ishu bwana couples kupeana cmpy aint a thing to rant as a python hood!! Imagine rent inalipa 50/50, fuel/gari mnashea..kuombana vocha itakua ishu kweli?

unajua mpaka ifikie hatua ya kuombwa vocha huyo mtu hadi ela ya kwenda kulewa anakuomba

uwiiii SAY NOOO TO MARIOOO
 
Mi baba mizimaaa mda mwingine inakuomba vocha bila hayaaa au nipigie we si vocha unawekewa kazini! Nyoooooo!
Sitaki kuamini na siamini kama m-baba wa pochi nene anaweza kuomba kuongezewa vocha hata siku moja, nyie komaeni na hao njaa kali wanaotoa kwa kuwekeza wakitegemea kesho waombe na wao, binafsi siwezi ujinga kama huo wa kuomba vocha kwa mwanamka, kuweka vocha ni sehemu ya matumizi yangu ya kila siku sasa nikuombe ili nini????
 
Sitaki kuamini na siamini kama m-baba wa pochi nene anaweza kuomba kuongezewa vocha hata siku moja, nyie komaeni na hao njaa kali wanaotoa kwa kuwekeza wakitegemea kesho waombe na wao, binafsi siwezi ujinga kama huo wa kuomba vocha kwa mwanamka, kuweka vocha ni sehemu ya matumizi yangu ya kila siku sasa nikuombe ili nini????

naanza kumsaka kuanzia sasa

say no to marioo
 
This is sympathic my dada,so sorry aisee wonder how you managed to bear all the pains all that time aisee
Ila Ishu ya multiple IDs na mambo Kama hayo nadhani lilikuwa ni Jambo la nyinyi kukaa na kuelekeza na
Another shock sijui ilikuwaje ukaruhusu mme ahamie kwa nyumba yako,yaani analeta mpaka Posa then anahamia kwa Mke tena Mbona it's sth do strange
I have also discovered that most guys or ladies looking for love humu most of them ni jivers tu au walaghai,they are not actually looking for partners but just playing here and there
 
... one of those things to make you go hmmmmmmm...!!

You got it big hommie.....it's one of those things that make you go hmmmmm...

I mean, a good-for-nothing grown ass man in his mid 40s with 6 kids and several baby mommas to his name....he sweet talks you with a whole bunch of sweet nothings and you fall for it just like that and start taking care of him?

I don't know about you big hommie but that to me doesn't pass my smell test....

But then again some would argue that what do I know...I'm just a conceited mbeba maboksi who doesn't have a grip about the ways of the world!

Oh well.....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom