Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Na wee unazan kila unachoandika kila mtu huaga anakipenda shetan wewee tena ukoomeee nyambafuuu dume zima ovyooo.....nlikua nakuheshim ndio maana mara nyingi ukinchokozaga nakupigiaga kimya saa naona leo umechokoza nyuki kwenye mzinga......kila mtu ana uhuru wa kuandika anachojiskia kama ni pumba ulijuaje kama sio na ww ni mmoja wapo wa hizo pumba kaanzishee jukwaa lakoo jingaa weee

Nini tena wife
 
Ajira hakuna na watu wanataka kuoa hivyohivyo. Mwanaume asiyekuwa na hela haruhusiwi kuoa? Na kama haruhusiwi afanyaje sasa wakati umri umekwenda sana?
 
Ameongea kwa huruma sana, ukweli n kwamba hamna mtu atakaye kupa furaha. Hapines is frm within. Learn to love and enjoy life with or without. Halafu utapata mtu wa kushare nae hapines na sio wa kukupa.

U deservr more thn huyo uliyenae mwenye Id 7. Trust me. Kutoolewa sio ugonjwe yaan utaamka asubuhi ujikute umevimba mwil mzima. Dont throw ya life away!
 
Binafsi huwa nashindwa kuelewa, hivi mwanaume mzima ushindwe kujishughurisha umtegemee mwanamke? Can't be serious.
 
Hivi humu duniani kila mtu lazima aolewe au aoe?Usijirahisishe kiasi hicho Dadangu kwanza tambua wewe ni wathamani kuliko hao unaowapapatikia.
Kitu kingine using'ang'ane na wanaume ambao sura zao humu hazionekani mpk mpange appointment.Jichanganye kanisani kazini na popote pale lakini usizishe mipaka.
Na usimuoneshe kila mwanaume kwamba una shida saaana ya kuolewa.Kama alivofanya kwa uyo past tense, nenda taratibu mchunguze mtu mpaka uridhike usiwe na haraka kwenye hili.
Na nyie wanaume mlio humu ambao kazi yenu ni kudanganya watu na ma ID zaidi ya kumi tabia hiyo sio nzuri hata kidogo.Hamtaki kupambana na maisha mnasubiri kuchuna wanawake.
 
Apparently, JF is NOT the right place to look for serious relationships. Look elsewhere. 95% if not 99%, we are using fake IDs. Others have gone an extra mile, they have multiple IDs. What do you expect? You are looking for a right person in a wrong place.
 
Pheeeew!

Huwa sina kawaida ya kusoma mada ndefu ndefu ila hii yako imenivutia na sielewi hata kwa nini.

Kwanza pole.

Lakini, hivi kweli unategemea kupata mtu mwaminifu (kwa viwango vinavyokuridhisha wewe) humu?

Na sijui nikupe hongera ya kuwa mwelewa au mvumilivu kwa kulitunza kifedha (japo kwa kiasi fulani) jibaba zima la miaka 44! Una moyo!

Halafu uko antisocial kiasi gani hadi ushindwe kabisa kukutana na wanaume kitaani? Kwani huwa hutongozwi hata barabarani ukiwa unapita?

Na huu mwandiko wako huu....ni kama nakujua vile......

Pole tena na kila lenye kheri kwenye mchakato wa maisha unayoyatamani.

WANAWAKE WENGI HUNGOJA KUTONGOZWA. HAWAJUI MAHUSIANO NI HAKI YA KILA MMOJA KUYAANZISHA.. NDIO MAANA WANA GONGA 30's ANAJIKUTA AMEISHIA KUGEGEDWA TU, HAMN AMCHUMBA. KUMFUATA MWANAUME NA KUMWAMBIA " I LOVE YOU" SIO USHAMBA KINADADA ZANGU. NA SIO LAZIMA USEME, VITENDO VINATOSHA KUMUINGIZA MWANAUME YEYOTE UNAYEMTAKA KWENYE CHANNEL ZAKO. Aibu yenu...kifo chenu.
 
Ndio maana huwa nasema, multiple ID's za nini? Mtu mwenye ID zaidi ya moja lazima ana agenda za siri. Lazima atakuwa na katabia ka kuficha na kufanya mambo kwa siri.

Pia hata wewe sista una walakini, utakutana vipi na mtu atoe posa hata humfahamu vizuri? Is it desperation au nini hicho? Hujui anaishi wapi, hujui background yake, elimu yake, kazi yake...then unakubali kutolewa posa kizembezrmbe tu?

Hapa swala sio mmekutana wapi, kwa style yako hata mngekutana kanisani, usingejua chochote kuhusu yeye. Huko church hamfundishwi dating procedures? Manake umesema wewe no mtu wa church...Then unam-host na kumpa matumizi...aaaaah!
Ingekuwa sista angu hakika ungelamba vitasa.

Ndo ushauri wako huo ama...??
 
Pole sana mkuu

Hahaaaa...hao jamaa unaokutana nao! kiboooko? IDs 7??? wanazihudumia vipi? wanawezaje kubalance muda wa kutafuta hela na muda wa kuchat jf na ID zao saba? Hao wamejiajiri kwenye social networks, kutafuta wadada na kulelewa, nadhani watakua matanashati sana.

Halafu pia wewe ulaumiwe sana, kwanza una miaka mingapi? Yaani hujui kufanya machaguzi ya mwanaume unaye mtaka? Wewe ni maharage ya mbeya? au unahisi ni mbaya sana hakuna anayekutaka? kwa kazi ,kipato chako na elimu yako sitegemei kama utakuwa unakurupuka katika maamuzi ya kuwa na mtu kiasi hiki....

Pole sana ila next time mchunguze mtu ujiridhishe kabla ya kumpa moyo wako acheze nao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom