Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Na hamu haya matusi ningekua natukanwa mieee teh the
Punguza munkariiiii tumboo

Best mm nahis nimekuwa mgen hawa marioo wanatoka wapi tena na wangemwanika na ID zake hapa ili tumchambe
 
Last edited by a moderator:
Na wewe mtoa mada hujiamini. Unabadilisha Id then unaandika story ambayo unaamini kabisa msomaji akiisoma atajua ni wewe, hapa sijajua lengo lako la kubadiri ID.

Inaonekana kuwa your so desperate na marriage, kila mtu anapenda kuoa/kuolewa lakini usije ukaona kama ni laana kuchelewa kumpata mwenza. Na kwa stori yako inaonekana ulimruhusu aje ajitambulishe kwako huku hata kumjua vizuri bado.

Vijana tuweni makini, tuweni na subira tunavotaka kuingia kwenye stage ya kuoa/kuolewa, na wengi wanafanya hivyo hasa wakitamani tu siku ya kuvaa shera, suti na kukata keki.

Ushawahi kufikiria huyo mme/mke mwenye kazi yake nzuri, pesa mingi, na maisha mazuri akiugua miaka mitano kitandani kama utavumilia? na ndio maana wengi wamekuwa na Relationship/marriage za maigizo. But naamini bado kuna wanaume na wanawake ambao ni husband/wife material.

Nilikuwa najiuliza kwann hakuandika hii habari kwa id yake anayotumia kila siku mpaka afungue nyingine? Wakati anajua huyo muuhusika atajua ni yeye alieandika/alieandikwa? Anaficha nn? Kuna kitu anaficha sio bure.
 
Nilinkie basi niisome
Huu dada alipost uzi kwa kutumia id nyingine akidai anapennda sana kukaa uchi na hapendi kuwa na marafiki upweke umemzidi mpk anapiga punyeto kwa kwenda mbele KHATIBUmuhtasi
 
Last edited by a moderator:
Nishamjua both mwanamke na mwanaume hehe ukisoma michango yao wala huwezi amini kuna kitu nyuma ya pazia,
heheee na jamaa hajatokea hapa kabisa labda kaja na ID mpya,bidada nae kaja kushangaa na id yake ya zamani....
Pole mhanga wa tukio hili.
 
Mimi sijawahi kuona mahusiano yaliopatikana mtandaoni yakawa na maana.
Watu wanapigia kelele Modernization,eti "siku hizi si lazma kufahamiana,mtandaoni inatosha". Some natural aspects of life can be modified to suit life itself,BUT NOT ALL,especially those pertaining this matter.
Been conservative in some issues which have proven smooth trend is far more preferred to the newly ones of yet unproven yields.
Kwa bahati mbaya mtoa mada karudia kosa lile lile. Zaidi kaona tabia zile zile kama mtu wa kwanza za kuwa na ID lukuki akiomba uchumba....na bado anaona future...ha haaa.
 
Yaani wewe mama mzima bado unanaswa kwa pumba za mchele kama ndege!

Hujui wanaume wengi KUOA ndiyo gia ya kuwa win desperate women like you.

Kwa desperation ya kuolewa wanaume wengi watakupanda kwa gia hiyo ya ndoa.
 
Mmmmmmmmmmmh! How old are you? Jaribu ku face your ghosts uwe mtu wa bata refu, tafuta mashosti wa kukutia shoti na kuzurura nao, your life wil change for good! Utamingle na watu balaa, utakula vya watu mpaka usaze! Hizi online staff ni complicated hata real life pia coz wanaumethese days sound nyingi sanaa na ufekerooo! But nina matumaini utapata mtu unaedeserve!

thanks for the advice
 
Nilikuwa najiuliza kwann hakuandika hii habari kwa id yake anayotumia kila siku mpaka afungue nyingine? Wakati anajua huyo muuhusika atajua ni yeye alieandika/alieandikwa? Anaficha nn? Kuna kitu anaficha sio bure.

hapo ndo kwenye swali, Raha ya Jf waliowengi wanatumia Id (fake names) lakini unashangaa hata fake name inatengenezewa fake name nyingine. so funny
 
Nishamjua both mwanamke na mwanaume hehe ukisoma michango yao wala huwezi amini kuna kitu nyuma ya pazia,
heheee na jamaa hajatokea hapa kabisa labda kaja na ID mpya,bidada nae kaja kushangaa na id yake ya zamani....
Pole mhanga wa tukio hili.

mhhhh, really?
 
mhhhh, really?

comments zoooote hujaona ya kuqoute hii imekustua enh?
ila mnawezaje huu ujasiri mbn ni beyoond nyege na upweke?
uko desperate kiasi hiki?
una lack nini as a woman?
sisemi humu huwezi pata mtu wa kuwa nae serious!mi nna marafiki kibao wa ukweli nimewapata jf na tunashare zaidi ya maneno ya keyboards!
lakini mbn kama huku kuangukia pua kunakutokea kila wakati kwa style hii hiii?
hebu wajue kwanza watu before haya makitu ya ndoa sijui posa!
heeeeee!
 
comments zoooote hujaona ya kuqoute hii imekustua enh?
ila mnawezaje huu ujasiri mbn ni beyoond nyege na upweke?
uko desperate kiasi hiki?
una lack nini as a woman?
sisemi humu huwezi pata mtu wa kuwa nae serious!mi nna marafiki kibao wa ukweli nimewapata jf na tunashare zaidi ya maneno ya keyboards!
lakini mbn kama huku kuangukia pua kunakutokea kila wakati kwa style hii hiii?
hebu wajue kwanza watu before haya makitu ya ndoa sijui posa!
heeeeee!

Habari za siku bibie??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom