Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
wa mitandaoni 99% ni matapeli

Wa mtandaoni ni akina nani? I beg to differ with u kabisa.

Naamini unaweza ukampata mtu sehemu yoyote, iwe barabarani, supermarket, ofisini,online,msibani,kwenye harusi, kwenye msiba n.k. Kinachofuata baada ya pale ni mawasiliano ya hapa na pale then mnaweza mkaonana. lakini kitendo cha kuonana sio ndio mkikutana tu mnaanza kusex..(Na hii ndio mbaya na wengi mnafanya hivo). Chunguzaneni hata tabia kama mnaendana, nendeni sehemu tofauti tofauti as friends(Hata kama mtu wako anakaa mbali sio kigezo cha yeye akikutembelea msex)

Then baada ya kujiridhisha na tabia angalau uwe ushamjua 45% mtu wako then mnaweza hata kukis n.k

I have a friend of mine ameoa last year na girl wake 1st tyme kamuona fb. And she is a wife materia.

Hiii ndo inawakuta wengi(Wengine wanaiita love at the 1st sight).. Mnawasiliana hapa vizuri, appointment dinner au mnaenda Bendi.mnafika huko mnakunywa mpaka saa 8 usiku, unafikiri kitakachofuata ni nini? hapo utalalamika eti kisa mapenzi ya online


Jf na mitandao ya kijamii mingine zinaonyesha uhalisia wa maisha tunayoyaishi mtaani, kuna watu wanaibiwa humu,wanatapeliwa, wanaona, wafanya biashara n.k. Na ndio maana ukifuatilia wengi wanaolalamika humu ukiwauliza mitaani/jamii zinazowazunguka wanawachukuliaje utasikia; wanasema naringa, wananiboa tu sina tym nao,hamna mtu wa levo zangu, wambea tu.... all in all huwezi ishi maisha exceptional.
 
Hahahahaha lol!!!! Labda Bro uko busy na soulmate wako na lile jukwaa lingine muhimu kwetu sisi. By the way simuoni siku hizi hapa sijui umemficha wapi? 🙂🙂🙂

.......hahaha! MMU nilikuwapo lile darasa la '47, enzi hizo tulikuwa wanafunzi weeeeeengi, kina BelindaJacob, MwanajamiiOne, Maty, Nyamayao, Gaga, na wengineo wengi!

Baada ya kufaulu/kuhitimu, na kujiondoa kwenye #UsukuleWaMapenzi , hata jukwaa la MMU hamtuoni tena,

Twaja mara moja moja kusoma comments tukitingisha vichwa kuwahurumia ambao ndio kwanza wanayaanza.

Jambo la kutia moyo, walimu waandamizi kina Dark City, The Boss, Asprin King'asti, na wengineo bado wanatoa lectures hapa na pale. Mchungaji The Finest wa masomo ya kiroho yeye ndio simuoni!

Soulmate is safe and well, usicheze kabisa na Mchagga wa Tanga...yupo juu!
 
Last edited by a moderator:
Wa mtandaoni ni akina nani? I beg to differ with u kabisa.

Naamini unaweza ukampata mtu sehemu yoyote, iwe barabarani, supermarket, ofisini,online,msibani,kwenye harusi, kwenye msiba n.k. Kinachofuata baada ya pale ni mawasiliano ya hapa na pale then mnaweza mkaonana. lakini kitendo cha kuonana sio ndio mkikutana tu mnaanza kusex..(Na hii ndio mbaya na wengi mnafanya hivo). Chunguzaneni hata tabia kama mnaendana, nendeni sehemu tofauti tofauti as friends(Hata kama mtu wako anakaa mbali sio kigezo cha yeye akikutembelea msex)

Then baada ya kujiridhisha na tabia angalau uwe ushamjua 45% mtu wako then mnaweza hata kukis n.k

I have a friend of mine ameoa last year na girl wake 1st tyme kamuona fb. And she is a wife materia.

Hiii ndo inawakuta wengi(Wengine wanaiita love at the 1st sight).. Mnawasiliana hapa vizuri, appointment dinner au mnaenda Bendi.mnafika huko mnakunywa mpaka saa 8 usiku, unafikiri kitakachofuata ni nini? hapo utalalamika eti kisa mapenzi ya online


Jf na mitandao ya kijamii mingine zinaonyesha uhalisia wa maisha tunayoyaishi mtaani, kuna watu wanaibiwa humu,wanatapeliwa, wanaona, wafanya biashara n.k. Na ndio maana ukifuatilia wengi wanaolalamika humu ukiwauliza mitaani/jamii zinazowazunguka wanawachukuliaje utasikia; wanasema naringa, wananiboa tu sina tym nao,hamna mtu wa levo zangu, wambea tu.... all in all huwezi ishi maisha exceptional.

gfsonwin naomba unufanyie ufupisho ndefu mnooooo
 
Last edited by a moderator:
Na hamu haya matusi ningekua natukanwa mieee teh the
Punguza munkariiiii tumboo

Shost roho mbaya umeanza lini? mjini watu tunanyimana chakula hatunyimani umbeaaa.....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: amu
Hili darasa la 47 lilikuwa poa sana maana wanafunzi tulijifunza mengi sana kutoka kwa wadadavuzi wa mambo yanayohusu jukwaa hili. Nafurahi kusikia kwamba soulmate wako yuko poa kabisa mpe salaam zangu nyingi sana...Chezeya mchagga wa Tanga weye akikuletea mapenzi ya Kitanga basi lazima umpende kiasi cha kumpa nyadhifa ya kuwa soulmate lol!!!

.......hahaha! MMU nilikuwapo lile darasa la '47, enzi hizo tulikuwa wanafunzi weeeeeengi, kina BelindaJacob, MwanajamiiOne, Maty, Nyamayao, Gaga, na wengineo wengi!

Baada ya kufaulu/kuhitimu, na kujiondoa kwenye #UsukuleWaMapenzi , hata jukwaa la MMU hamtuoni tena,

Twaja mara moja moja kusoma comments tukitingisha vichwa kuwahurumia ambao ndio kwanza wanayaanza.

Jambo la kutia moyo, walimu waandamizi kina Dark City, The Boss, Asprin na wengineo bado wanatoa lectures hapa na pale. Mchungaji The Finest wa madono ya kiroho yeye ndio simuoni!

Soulmate is safe and well, usicheze kabisa na Mchagga wa Tanga...yupo juu!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
aseee sijui hata cha kuandika gfsonwin ni nin kinaendelea!
hiz threads una maslahi nazo mwal?
chaaa!
n kiiki?
 
Last edited by a moderator:
BAK unaweza kuntaftia wimbo unaoweza kuelezea linaloendelea JF sasa hiv?
haki vile sielewi!
nahs najidunga sana siku hiz mpk akili inakuwa brainshake!
 
Last edited by a moderator:
Hee intelligence yangu ilikua poor kidogo ngoja nifanye mpango wa kuongza skills nipate taarifa zaidi
 
Mie sijui lolote hapa nipo nipo tu.

BAK unaweza kuntaftia wimbo unaoweza kuelezea linaloendelea JF sasa hiv?
haki vile sielewi!
nahs najidunga sana siku hiz mpk akili inakuwa brainshake!
 
Kumbe mapenzi ya JF huwa yanaenda hadi kwenye real life.!!!!?!!!!!
 
Mmmh jf nomaaa
ID zooote Kaizer nijie na ile kitu huku si salama
Naona watu wanalipuana tuu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom