Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Kah aanze chuo adi amalze bila mtongozo lol mie ngejidumbukiza mtoni maana kama ni gundu imepitiliza.....unajua ni ngumu sana kupata mwanaume au mwanamke mitandaoni kama ni binadam na zlzotimia kichwan lazma ujiulze uyu kanitaka mm na je anataka wangap au uyu kanikubar mm na je kakubar wangap.....lol nakumbuka navo join jf nliweka uzi wakutafta bwana yan ilikua ni balaa mi nilweka ki masihara koz nlijua sio kila liandikwalo umu ni la ukwel mbona nlipokea pm za kutosha na Aslimia kubwa ilikua ni id mpya

Dah! Kumbe ulikuwa unatujaribu sio? Ukawa unazichora PM zetu tu!
 
Pole my dada.kwa haraka vitu ninavyoona tu vinaokuweka mbali na wanaume kubwa ni ile kuwa kivyakovyako,umefunga ndoa na kazi yako ni ngumu sana kuolewa na kupata ndoa ya pili ambayo ni mwanaume.uwez kuwa kanisan unawaza ukitoka ukamalizie kaz fulan ya oficin ukitoka tu unakuwa huna habari na mtu moja kwa moja kwenye gari yako unaondoka hakuna muda hata wakusalimiana na watu mume wako yuko katikati ya watu ya unakutanao kila siku.ukifungua macho yako utamuona.kwangu mimi nishida hata kusema tu ukisafiri unafunga nyumba yako unawezaje kuishi bila watu inamaana huo mkoa unaoishi hakuna hata ndugu wa kusingiziwa? mahusiano yoyote yanagarama laazma utoe muda kwa ajili ya watu wengine like wakikualika kwenye birthday zao attend hata kama ni mdada mwenzako inasaidia kujenga mahusiano cause utawhitaji kesho na wakati mwingine ndio marafiki wa aina ya mwanaume unayehemuhitaji inakuwa rahisi kuwaconneted na uyo mwanaume.Oficn kwenu kukiwa na function yyote hata harusi jifunze kumuomba hata mkaka waapo oficin uende nae learn kusocialize ili uwazoe wanaume wasikuchanganye.baadhi ya wanaume wanajua kutake advantage ya mdada ambaye yuko bize ili kumtumia tu alafu wanatambaa.dont settle for less u deserve the best
 
Na wewe mtoa mada hujiamini. Unabadilisha Id then unaandika story ambayo unaamini kabisa msomaji akiisoma atajua ni wewe, hapa sijajua lengo lako la kubadiri ID.

Inaonekana kuwa your so desperate na marriage, kila mtu anapenda kuoa/kuolewa lakini usije ukaona kama ni laana kuchelewa kumpata mwenza. Na kwa stori yako inaonekana ulimruhusu aje ajitambulishe kwako huku hata kumjua vizuri bado.

Vijana tuweni makini, tuweni na subira tunavotaka kuingia kwenye stage ya kuoa/kuolewa, na wengi wanafanya hivyo hasa wakitamani tu siku ya kuvaa shera, suti na kukata keki.

Ushawahi kufikiria huyo mme/mke mwenye kazi yake nzuri, pesa mingi, na maisha mazuri akiugua miaka mitano kitandani kama utavumilia? na ndio maana wengi wamekuwa na Relationship/marriage za maigizo. But naamini bado kuna wanaume na wanawake ambao ni husband/wife material.

Je wewe si miongoni mwao?
watoto 6 sio mchezo...
 
Duh "Dalaber" pole kwa yote yaliyokusibu hata sie wanaume huwa tunakutana na wadad/wamama dizaini hiyo, yaani kitu day one tu unaombwa Kodi ya Nyumba, Ada za wadogo zake, Mama Mgonjwa mara Marejesho duh da list is endless. Mimi cku hizi siruhusu upuuzi am very straight forward ukipenda niite bahiri. Nina moyo wa kusaidia lakini kamwe sitoi msaada unaonizidi uwezo kisha niende kulalama pembeni
 
tatizo unapenda sana,hebu jaribu kuwasoma wanaume tofauti kisha mchague mwenye nafuu kati ya waliotuma application
 
Hahahah ni swali zuri sana mkuu. Jamii iliyopo hapa ndio hiyo iliyoko mtaani, tabia walizonazo watu mitaani nda hizo hizo za humu ndani, kuna wachungaji, wapagani, walevi, machangudoa, mashoga, wastaarabu,wambea n.k. So unachokiona hapa ndo hicho kinachotekea mtaani, tofauti ya hapa humuoni mtu physical.

Hapa sasa umeweka mambo clear,kwa kupitia Huu muongozo nadhani kupata mwenza humu ni likely possible
 
Usinichoke, kusanya hizi Id zinazomponda huyu dada halafu baadae tutafanya interrogation,
Cc diwan
mimi nipo hapa Hill Park nakunywa juice ya Sharbat

Hahaha unatafuta ugomvi eeeh, mi simo jamani uwiiii
 
Last edited by a moderator:
Unajuwa wewe binti huna akili unaandika pumba tupu, kwahiyo sisi wanaume ambao tupo JF tunatoka kwa shetani? Tumboo akili utumbo.

Mmhhh....bro we mkali mnoo

Hajamzidi ....hajamfikia kwanza

Ila matola michango yake inaonyesha ni mkali mkali hivi

Kwahiyo wewe ulidhani mimi ni zezeta? mtu anakuja kuongea pumba zake hapa wewe unatalajia tumgongee like button kwa kuandika pumba?

Hakuna ukali wowote!

Kuna watu wana cacha ya kulazimisha kuogopwa! Ni aina fulani ya inferiority complex.
 
Unajuwa wewe binti huna akili unaandika pumba tupu, kwahiyo sisi wanaume ambao tupo JF tunatoka kwa shetani? Tumboo akili utumbo.

Mmhhh....bro we mkali mnoo

Hajamzidi ....hajamfikia kwanza

Ila matola michango yake inaonyesha ni mkali mkali hivi

Si uyoo kila nakokoment ananifatafata tuu aghaaa na kujifanya ye ndio anaakil sana

Inferiority complex! Anapendaga kulazimisha kuogopwa.
 
Umenuna? dawa ya kichefu ni ndimu au kama umechukia fanya hivi;

Kwakuwa wewe ni mshamba wa Moro chukuwa shuka na mto wako kisha nenda katandike kwenye barabara ya kwenda Dodoma lala hapo.

cc lara 1
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom