Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Pole dada ,kwa changamoto ulizokutana nazo nimepata darasa kutoka kwako, pia mi msichana nimejifunza vitu ,unapatikana mkoa gani
Hii yako ina walakini, si rahisi mwanadada akajiita msichana. Usije ukawa unatafuta Free K kijanja. Weka picha yako
 
hivi mtu unakuwa na ID 7, zote za nini? tutumie mitandao kwa busara tuache ujanjaujanja. ila story yako nzuri sana ntaomba niipeleke kwenye radio ili watu wajifunze zaidi, usisahau kuja na part 2 ya huyu wa sasa. tumia mitandao kwa faida kama kupata kazi, tender n.k, wachumba wa mitandaoni ni kuunganisha vikojoleo kwa burudani tu. mke/mume pambana kumtafuta kwenye mazingira yako unapoishi. miss chagga hii story isikutishe j.mosi ratiba yetu kama kawa lazima nije dalisalama unitembeze. miss neddy kuwa makini na ID watu wanazo 7 unashangaa unatongozwa na mtu mmoja kwa ID 5. teh, teh, teh. sasa dada vipi ndoa lini? maana naona Age go.
 
Last edited by a moderator:
First of all control ur desperation maana hiyo ndio matokeo yake.

Pili mimi siamini kwenye uhusiano wa online. Umesema umesoma sana,ina maana kuwa shuleni kote huko hakuna wanaume ambao wana jitambua ulikutana nao? Kanisani huwa huendi? Kwenye harusi? Huna hata marafiki wawili ambao unaiva nao na mnaendana uwe unatoka nao sehemu ambazo unazipenda?

Hata uwe antisocial vipi lazima swali moja hapo litakuhusu otherwise wewe ndio utakuwa tatizo zaidi kuliko hata hiyo desperation na hao wanaume wa ajabu unao kutana nao.

Kuna sehemu na namna nyingi ambazo unaweza kukutana na mwenzi mkajenga urafiki na kufahamiana.Kuwa antisocial sio sifa lakini kuwa unajiachia sana nayo ni tatizo hivyo anza kujichanganya na usiwe desperate sana just take your time kumjua mtu na si kukimbilia ndoa.

All the best
Na hata huko kwenye safari zake za kikazi hakutani na watu? nahisi ni yeye mwenyewe hajaamua kujiweka 'available' au ana vitabia vinavyofanya me waogope kumtokea
 
Nijaribu mimi mama, nina mwanamke ananipa mistress balaa mpaka nafikiria kumuacha. Tujaribu tuone kama tuna-match
 
hivi mtu unakuwa na ID 7, zote za nini? tutumie mitandao kwa busara tuache ujanjaujanja. ila story yako nzuri sana ntaomba niipeleke kwenye radio ili watu wajifunze zaidi, usisahau kuja na part 2 ya huyu wa sasa. tumia mitandao kwa faida kama kupata kazi, tender n.k, wachumba wa mitandaoni ni kuunganisha vikojoleo kwa burudani tu. mke/mume pambana kumtafuta kwenye mazingira yako unapoishi. miss chagga hii story isikutishe j.mosi ratiba yetu kama kawa lazima nije dalisalama unitembeze. miss neddy kuwa makini na ID watu wanazo 7 unashangaa unatongozwa na mtu mmoja kwa ID 5. teh, teh, teh. sasa dada vipi ndoa lini? maana naona Age go.

me id mpya huwa sijibu pm kabisaaa
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom