Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Mario ndiyo nn?Halijafika bado Kyela neno hili!

Mwanamme kutongoza tongoza ni tabia za DNA hata umkanye vipi aliye zoea tabia hii kuacha ni ngumu
 
Nitakuambia shida yako moja tu. Unadandia magari kwa mbele. Tena yakiwa kwenye mwendo. Jiwekee standard. Usidate na mtu kabla hajawa rafiki yako. Kutana na mtu jf ama hata fb, get to know him. Kuwa rafiki tu, no kissing, no flirting hata kwa mwaka mzima. Baada ya hapo, muamue kama mnawezana. Huwezi peleka mtu akatoe posa kwenu na haujui ana kazi gani, anaishi wapi, amesoma shule gani na gani na akafanya kazi wapi! Utaumia, utapitiwa na kugaragazwa hadi ushangae.

Huyu wa sasa nae ni mwehu tu. Watu wengi wana id nyingi humu, ila sio kujianzishia thread na kujijibu. Yaani namuona atakavyokusumbua na fake fame. Halafu, hao wadada wengine walioapply uchumba bado anawasiliana nao. Hivi seriously hata kazini umekosa mtu wa kukutongoza jamani???
 
hivi unafikiri hapa utapta mtu sahihi?
humu mifake ids kibaou usijisumbuue kutafta mwanaume humu itakula kwako afu usikate tamaa utapata tu wako
Ila jichunguze kwa nini wanaume wanakuogopa?
kua simple tu huko kitaa utapata wako
 
!Yeuuuuuuuuuuuuuuuuuuuwi!:tape2:
 
Nitakuambia shida yako moja tu. Unadandia magari kwa mbele. Tena yakiwa kwenye mwendo. Jiwekee standard. Usidate na mtu kabla hajawa rafiki yako. Kutana na mtu jf ama hata fb, get to know him. Kuwa rafiki tu, no kissing, no flirting hata kwa mwaka mzima. Baada ya hapo, muamue kama mnawezana. Huwezi peleka mtu akatoe posa kwenu na haujui ana kazi gani, anaishi wapi, amesoma shule gani na gani na akafanya kazi wapi! Utaumia, utapitiwa na kugaragazwa hadi ushangae.

Huyu wa sasa nae ni mwehu tu. Watu wengi wana id nyingi humu, ila sio kujianzishia thread na kujijibu. Yaani namuona atakavyokusumbua na fake fame. Halafu, hao wadada wengine walioapply uchumba bado anawasiliana nao. Hivi seriously hata kazini umekosa mtu wa kukutongoza jamani???

inawezekana hajisocialize na watu yuko busy mda wote serious na kazi "miss independet"
yani hata wanaume anajifanya hataki ukaribu nao!
tumshauri apunguze ukaksi
ila hapa jf kuna mariooo wanajua kuna wanawake wanatafuta ndoa kwa udi na uvumba so wanakumega na kukuacha tu
 
Pole yako....duh ila kuna wanawake wana moyo kabisaa et nakua na mchumba jeifu kwamba nakopita sitongozwi....wanaume mitaani wamejaa kibao
 
Me nimesoma kwa umakini sana story yako,na nimegundua inaradha yabukweli ndani yake,lakini kwakuwa sjakuoni umenifanya tu niwe ma ma maswali mengi sana kukuhusu!.
1.kwanini haukutfta mtu wa kuwa nae tangu upo jpo hko chuo?
2.umesema huwa mnachekwa ati nyie hamuolewi je umetfta suruhu na.kujua kwanin hivyo?
3.Utapata mtu kulingana na style ya maishavuliamua kuishi je kwanini ustfte wanaume wa hadharani na si hapa ndani,kwani una madhaifu gani?,wewe ni mbaya au mzee sana?
Kiufupi umenifanya me mwenyewe nikuogope kama ww unavyomuogpa huyo mshkji wako wa awali uliempta hapa..mtakuwa mnaendana...bt kama hautaki haya yakaplkpate,ask God shall help you
 
Pole yako....duh ila kuna wanawake wana moyo kabisaa et nakua na mchumba jeifu kwamba nakopita sitongozwi....wanaume mitaani wamejaa kibao

unafikiri kila mwanamke anabahati ya kutongozwa? Belive me, kuna mwanamke anaweza akaanza Chuo mwaka wa kwanza adi wa mwisho, hata kutongozwa asitongozwe...
Sa sijui hana mvuto au ni gundu lake tu....
 
unafikiri kila mwanamke anabahati ya kutongozwa? Belive me, kuna mwanamke anaweza akaanza Chuo mwaka wa kwanza adi wa mwisho, hata kutongozwa asitongozwe...
Sa sijui hana mvuto au ni gundu lake tu....

Kah aanze chuo adi amalze bila mtongozo lol mie ngejidumbukiza mtoni maana kama ni gundu imepitiliza.....unajua ni ngumu sana kupata mwanaume au mwanamke mitandaoni kama ni binadam na zlzotimia kichwan lazma ujiulze uyu kanitaka mm na je anataka wangap au uyu kanikubar mm na je kakubar wangap.....lol nakumbuka navo join jf nliweka uzi wakutafta bwana yan ilikua ni balaa mi nilweka ki masihara koz nlijua sio kila liandikwalo umu ni la ukwel mbona nlipokea pm za kutosha na Aslimia kubwa ilikua ni id mpya
 
Dada mario pole sana,Mungu atafanya njia...ni wakati wakumtegemea . Naomba uwe
My friend,,
 
Ushaur: achana na wanaume wa mitandaoni kama unashida yakumalza hamu za kimwili ndio utafte humu jf ila wa ndoa awez kupatkana jf mwamin mungu kwan mume mwema anatoka kwa mungu na sio jeiefu pole kwa yaliyokukuta
 
Nitakuambia shida yako moja tu. Unadandia magari kwa mbele. Tena yakiwa kwenye mwendo. Jiwekee standard. Usidate na mtu kabla hajawa rafiki yako. Kutana na mtu jf ama hata fb, get to know him. Kuwa rafiki tu, no kissing, no flirting hata kwa mwaka mzima. Baada ya hapo, muamue kama mnawezana. Huwezi peleka mtu akatoe posa kwenu na haujui ana kazi gani, anaishi wapi, amesoma shule gani na gani na akafanya kazi wapi! Utaumia, utapitiwa na kugaragazwa hadi ushangae.

Huyu wa sasa nae ni mwehu tu. Watu wengi wana id nyingi humu, ila sio kujianzishia thread na kujijibu. Yaani namuona atakavyokusumbua na fake fame. Halafu, hao wadada wengine walioapply uchumba bado anawasiliana nao. Hivi seriously hata kazini umekosa mtu wa kukutongoza jamani???

You can say that again
 
Kah aanze chuo adi amalze bila mtongozo lol mie ngejidumbukiza mtoni maana kama ni gundu imepitiliza.....unajua ni ngumu sana kupata mwanaume au mwanamke mitandaoni kama ni binadam na zlzotimia kichwan lazma ujiulze uyu kanitaka mm na je anataka wangap au uyu kanikubar mm na je kakubar wangap.....lol nakumbuka navo join jf nliweka uzi wakutafta bwana yan ilikua ni balaa mi nilweka ki masihara koz nlijua sio kila liandikwalo umu ni la ukwel mbona nlipokea pm za kutosha na Aslimia kubwa ilikua ni id mpya
Me nasema kwamba, wanaotafuta wapenzi humu ni watu waliokosa direction ya mapenzi au maisha kwa ujumla, watu na akili zao wanamuomba mungu awapatie mke/mume, na wengine wananaribu bahati zao mitaani
Sio kuja humu mwishowe unapata gaidi kama sio mwana.ke mwenye watoto sita kila m1na Baba ake....
 
Pole dada..niwakati wa kumtegemea Mungu sasa
Are u beleave in jesus? Napmba uwe rafiki angu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom