Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Aisee english ya kuchanganya na kiswahili inaboa bora utumie englidh full
 
Ndio maana huwa nasema, multiple ID's za nini? Mtu mwenye ID zaidi ya moja lazima ana agenda za siri. Lazima atakuwa na katabia ka kuficha na kufanya mambo kwa siri.

Pia hata wewe sista una walakini, utakutana vipi na mtu atoe posa hata humfahamu vizuri? Is it desperation au nini hicho? Hujui anaishi wapi, hujui background yake, elimu yake, kazi yake...then unakubali kutolewa posa kizembezrmbe tu?

Hapa swala sio mmekutana wapi, kwa style yako hata mngekutana kanisani, usingejua chochote kuhusu yeye. Huko church hamfundishwi dating procedures? Manake umesema wewe no mtu wa church...Then unam-host na kumpa matumizi...aaaaah!
Ingekuwa sista angu hakika ungelamba vitasa.
 
o

Hahahaaaaa! Ila kama free p mwenyewe package ya watu8 afu mdada mwenyewe ana mahela balaaa, kwani kitu gani? Namfuga tu hivo hivo! Kama kumfuga siwezi tunapiga tu za kirafiki kurelaxisha mwili na ubongo!
Matola baby you are my no 1 hivo ziwezi kukurecomend ili kujiongezea competition thubutuuu! So i have to recomend some else, Vin D is ya sworn enemy hence tha leaves Watu 8 in the recomendaton zone! Cc miss neddy, unamfatilisia snaa watu 8. Baby snake turned vernomous viper!

hahahahahaha lol watu8 hivi hujamtambulisha lara kuwa mi ni mjukuu wako eeeeh na haki zote zimehifadhiwa l
 
Last edited by a moderator:
Dah, pole sana Mamii, hii mitandao hii!, Mi naona hata huyo wa sasa hakufai, usijiingize kwenye matatizo tena kwa wanaume wasiojielewa, mchecheto wa kuolewa ndio unaokutesa sana, jitahidi kuwa calm ili kuona ukweli wa hao wanaosema wanataka kukuoa, usiolewe ili kumfurahisha mtu fulani, ingia kwenye ndoa moyo wako ukiwa umeridhika, usijitese my Dear.
 
Hii nayo kwa ujumla wake ni kiboko.. Duhh kazi kweli kweli!!
 
Ndio maana huwa nasema, multiple ID's za nini? Mtu mwenye ID zaidi ya moja lazima ana agenda za siri. Lazima atakuwa na katabia ka kuficha na kufanya mambo kwa siri.

Ni kweli mkuu...

ID moja fake tu ni sababu ya kuficha uhalisia wetu, sembuse ID's nyingi...!!!
 
Duuu pole sana mdada, Mshirikishe Mungutampata mwsnaume anaekufaa tu. Mimi naamini mpenzi mchumba unaweza ukampata sehemu yoyote, ukimpata online mtaridhiana baada ya kuona mna match behavior.
 
Mkuu hilo si la kuuliza....

Hicho ndiyo kitu nawalaumu wanawake, ni wepesi wa kutoa K. Ila acha wamegwe mpaka hapo watakapopata akili. Mungu awanusuru watoto wetu wa kike na majambazi ya mapenzi.
 
If falling into desperation worked to make things better, then I would say, 'Let's all jump into despair.' But it doesn't help. The only way to truly find meaning and fulfillment is to look at the disaster, the pain, the difficulty, and know with complete certainty that good can come from this.
Yehuda Berg
 
Ndio maana huwa nasema, multiple ID's za nini? Mtu mwenye ID zaidi ya moja lazima ana agenda za siri. Lazima atakuwa na katabia ka kuficha na kufanya mambo kwa siri.

Pia hata wewe sista una walakini, utakutana vipi na mtu atoe posa hata humfahamu vizuri? Is it desperation au nini hicho? Hujui anaishi wapi, hujui backgrounkaziyake...then unakubali kutolewa posa kizembezrmbe tu?

Hapa swala sio mmekutana wapi, kwa style yako hata mngekutana kanisani, usingejua chochote kuhusu yeye. Huko church hamfundishwi dating procedures? Manake umesema wewe no mtu wa church...Then unam-ht na kumpa matumizi...aaaaah!
Ingekuwa sista angu hakika ungelamba vitasa.


Mimi mwenyewe huwa nashangaa, mtu unakuwa na ID mbili au 3+ kwa ajili ya nini hamjiamini? Nab huo
 
Ushaur: achana na wanaume wa mitandaoni kama unashida yakumalza hamu za kimwili ndio utafte humu jf ila wa ndoa awez kupatkana jf mwamin mungu kwan mume mwema anatoka kwa mungu na sio jeiefu pole kwa yaliyokukuta

Unajuwa wewe binti huna akili unaandika pumba tupu, kwahiyo sisi wanaume ambao tupo JF tunatoka kwa shetani? Tumboo akili utumbo.
 
Kwa huo mwezi mmoja jamaa lazima alilionja tunda.
Kakubali posa ndani ya mwezi...iwe kuonja tena!!!!..huyu sista kanikera sana, naturally wanawake wamepewa kipaji cha kumsoma mwanaume pindi akitongozwa, Sijui hawa wa siku hizi wakoje..siku moja tu anaacha chupi nyumbani na kwenda kwa bf uchi..aaah!!!
 
Hicho ndiyo kitu nawalaumu wanawake, ni wepesi wa kutoa K. Ila acha wamegwe mpaka hapo watakapopata akili. Mungu awanusuru watoto wetu wa kike na majambazi ya mapenzi.

Mkuu mbaya zaidi wanawake huwa ni victims wa ubazazi mara zote...

Anaweza kutendwa mara kadhaa lakini bado atakuwa na moyo kwa sababu wao ni wawindwa siku zote...

Wale waliopata wanaume wa maisha yao aisee watulie na washukuru Mungu sana...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom