Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
Na wewe mtoa mada hujiamini. Unabadilisha Id then unaandika story ambayo unaamini kabisa msomaji akiisoma atajua ni wewe, hapa sijajua lengo lako la kubadiri ID.

Inaonekana kuwa your so desperate na marriage, kila mtu anapenda kuoa/kuolewa lakini usije ukaona kama ni laana kuchelewa kumpata mwenza. Na kwa stori yako inaonekana ulimruhusu aje ajitambulishe kwako huku hata kumjua vizuri bado.

Vijana tuweni makini, tuweni na subira tunavotaka kuingia kwenye stage ya kuoa/kuolewa, na wengi wanafanya hivyo hasa wakitamani tu siku ya kuvaa shera, suti na kukata keki.

Ushawahi kufikiria huyo mme/mke mwenye kazi yake nzuri, pesa mingi, na maisha mazuri akiugua miaka mitano kitandani kama utavumilia? na ndio maana wengi wamekuwa na Relationship/marriage za maigizo. But naamini bado kuna wanaume na wanawake ambao ni husband/wife material.
 
Na wewe mtoa mada hujiamini. Unabadilisha Id then unaandika story ambayo unaamini kabisa msomaji akiisoma atajua ni wewe, hapa sijajua lengo lako la kubadiri ID.

Inaonekana kuwa your so desperate na marriage, kila mtu anapenda kuoa/kuolewa lakini usije ukaona kama ni laana kuchelewa kumpata mwenza. Na kwa stori yako inaonekana ulimruhusu aje ajitambulishe kwako huku hata kumjua vizuri bado.

Vijana tuweni makini, tuweni na subira tunavotaka kuingia kwenye stage ya kuoa/kuolewa, na wengi wanafanya hivyo hasa wakitamani tu siku ya kuvaa shera, suti na kukata keki.

Ushawahi kufikiria huyo mme/mke mwenye kazi yake nzuri, pesa mingi, na maisha mazuri akiugua miaka mitano kitandani kama utavumilia? na ndio maana wengi wamekuwa na Relationship/marriage za maigizo. But naamini bado kuna wanaume na wanawake ambao ni husband/wife material.

Point taken
 
The story is shocking! Duh. Kweli dunia hii tunatofautiana sana. Mungu atakupa mume wa kukufaa ndugu mleta mada.
 
Mimi sielewi one thing tafadhali I stand to be corrected hivi kuna tofauti kati ya wanaumme wa mitandaoni na wa mitaani,need some explanations hapa
cc tuumbo


Hahahah ni swali zuri sana mkuu. Jamii iliyopo hapa ndio hiyo iliyoko mtaani, tabia walizonazo watu mitaani nda hizo hizo za humu ndani, kuna wachungaji, wapagani, walevi, machangudoa, mashoga, wastaarabu,wambea n.k. So unachokiona hapa ndo hicho kinachotekea mtaani, tofauti ya hapa humuoni mtu physical.
 
mweeh............huu uzi sijui mkwann sikuufungua toka usiku manake niliuona nikaogopa sijui nini kimenifanya nifungue.

bidada hujajua kupenda unatakiwa upende kabla sio ukajifunze kupenda
af wewe inaelekea hujajua wanaume wa siku hzi wawe wa umri mkubwa ama mdogo wengi wamekuwa mario yaani hadi wanatia huruma af ndo hawa tunagongana nao salun kwenye pedicure na manicure
 
Huu dada alipost uzi kwa kutumia id nyingine akidai anapennda sana kukaa uchi na hapendi kuwa na marafiki upweke umemzidi mpk anapiga punyeto kwa kwenda mbele KHATIBUmuhtasi
 
Last edited by a moderator:
af sijui mimi nikoje mume kama mume kwangu naridhika nikimkuta anafanya kazi, tena sio ya upedeshee hapana nimkute ni kifua chuma kweli kweli hapo ata kama ana mshahara mdogo nitaridhika lkn mume wa kupaka kiatu kiwi na kufuta kwa leso kiatu kutwa nzima tupa kuleeeee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom