Pole mwenyewe,
halafu nikwambie tu nimeolewa na mtu elimu yake hata usitake kuijuia,
and we have happy life kuliko wewe unayehangaika na watoto wa form four ili uwageuzegeuze utakavyo,
yani mimi ilikuwa hata ukini beep tu tayari naku disqualify
Mpwa mapenzi upofuu
Kuna mahusiano gani kati ya jinsia ya kiume na hiki ulichokisema
Hii ni kanuni mla huliwa na unapoliwa usichague pakuliwa, utamu wa samaki sharti umle mpaka mkiani upekenyue mpaka jichoni maana kuna mafuta mafuta.
Kimfaae mtu chake, cha mtu mavi, jasho la mtu haliliwi, wahenga walisha sema.
Yanini kutumbulia macho cha mwenzako ili hali unajiweza kipesa.
Te te teee kumbe duh!! Nlishamuhisi mtu ila basi
Mh..mada imekuingia? Halafu nlidhani ni wewe ndio umeandiaka hili liuzii, hebu nitoe mashaka pls......
Nimejuwa kwanini thread za dharau kwa wanawake hapa Jf zinapostiwa.Nyuma ya pazia kuna mengi ufanyika na mkitibuana huko mnakuja kuyamwaga hapa.
kuna watu wana mpaka id za kike na kiume na wanajitongoza wenyewe humu....unafikiri utani but very true
hhHhhahhia hiii kiboko lakini utaanzaje tu kunibip
Mwanaume atakayechukia maelezo yako atakuwa na matatizo makubwa,
Kuna watu nawafahamu ni madalali wa bidhaa pale sokoni kariako wanapiga pesa nzuri kila siku, naunga mkono hoja yako ili mradi mwanaume siyo jambazi na anajitambuwa na anajitahidi kuonesha nafasi yake kama mwanaume katika majukumu ya nyumbani go for him bila kujari kazi yake.
Kuna mijanamke mazuzu inatombwatombwa hovyo kisa jamaa sijui anafanya kazi ubalozi wa Uingereza wakati hata mia yake huioni ujinga huu.
Ngoja ufike miaka 35 kama ujafanya kama mwenzako na mpaka mahali na harusi utagharamia mwenyewe.ongea maneno hayo sababu una 20
Pole sana mkuu
Hahaaaa...hao jamaa unaokutana nao! kiboooko? IDs 7??? wanazihudumia vipi? wanawezaje kubalance muda wa kutafuta hela na muda wa kuchat jf na ID zao saba? Hao wamejiajiri kwenye social networks, kutafuta wadada na kulelewa, nadhani watakua matanashati sana.
Halafu pia wewe ulaumiwe sana, kwanza una miaka mingapi? Yaani hujui kufanya machaguzi ya mwanaume unaye mtaka? Wewe ni maharage ya mbeya? au unahisi ni mbaya sana hakuna anayekutaka? kwa kazi ,kipato chako na elimu yako sitegemei kama utakuwa unakurupuka katika maamuzi ya kuwa na mtu kiasi hiki....
Pole sana ila next time mchunguze mtu ujiridhishe kabla ya kumpa moyo wako acheze nao.
Mtu akiwa na multiple ids ujue ana lake jambo
free p alafu unaombwa tena hela looooh kuna watu wana moyo
yaani mimi mvulana anaiambie tu nipunguzie vocha nipo sehem siwez kupata nitamuuliza maswali hatorudia
ila hili ni tatizo la kuingia kwenye uhusiano na mtu asiekua na muelekeo
Uwiiiiii Yaan siku hizi wanaume mmekuwa lugumya kweliii mnataka kulelewaaa tu aisee hata mi siwezii yaan uhamie kwangu nikupe pesa,unitukane nikuangalie tuuu weeee mbona wanaume wenye tabia nzuri wapo tu japo wanazidiana tabia mbaya na nzurii
Tena humu Jamii wanaume Marioo wapo kibao wengi wanaishi makwao na ni wakubwa wanatakiwa wawe na miji yao mmxxxxiiuuu mnaboajeeee !!!!
Uzuri una kazi umesoma mume atakuja hata kanisani utampata tu jamanii
Jaman wanaume wachache siku hizii mi ngoja nimng'ang'anie Msukuma wangu Mungu amjaalie tabia njema milele loo ye hata akikwama ntamlea tu na vocha ntamuwekea
Kwako dada usione wanaume humu wanaandika andika na kujifanya wanazo wamesoma hamunaaaa tunaowajua ni wachache tu wenye misimamo na kujitambuaaaa
Mario yeyote asiniquote apitilizeeeee mfyuuuu miss chagga, lara1 hebu yaoneni mamariooo yanaudhiii