masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,380
- 19,273
wako wanaume wengine akishakufukuzia na akaona una dalili za kumkubali upepo wa mawasiliano unaanza kubadilika mara akubip au anatuma tafadhali nipigie, sasa hapo mimi hata kama nilishaanza kujenga interest inapotea
ila mariooo wanauzi sana