Stories za wachumba wa Jamiiforums

Stories za wachumba wa Jamiiforums

Status
Not open for further replies.
wako wanaume wengine akishakufukuzia na akaona una dalili za kumkubali upepo wa mawasiliano unaanza kubadilika mara akubip au anatuma tafadhali nipigie, sasa hapo mimi hata kama nilishaanza kujenga interest inapotea

ila mariooo wanauzi sana
 
siyo mimi dikembe huwa situmii ids nyingine huwa sina tabia mbaya ... ila inahuzunisha kwa kweli
Muwe makini mkuu, akina yahaya wako kila mahali. weka qualifications za mtu unaemtaka , usipindishe maamuzi kwa sabab isiyoeleweka, hapo utafanikiwa.
 
Last edited by a moderator:
Muwe makini mkuu, akina yahaya wako kila mahali. weka qualifications za mtu unaemtaka , usipindishe maamuzi kwa sabab isiyoeleweka, hapo utafanikiwa.

umeongea point nzuri sana hapo juu nilisema
weka key point za mtu umtakae hana MUACHE MARA MOJA usiaeme eti nitajifunza kupenda hell noo
 
Last edited by a moderator:
Muwe makini mkuu, akina yahaya wako kila mahali. weka qualifications za mtu unaemtaka , usipindishe maamuzi kwa sabab isiyoeleweka, hapo utafanikiwa.

Kweli kabisa mwanaume majukumu si bla bla nyingi
 
Last edited by a moderator:
No wonder mnachezewa na kuliwa ovyo...
Utakuwaje na mahusiano na mtu usijue chanzo chake cha kipato?
That's why wengi mnaishi na majambazi na drug dealers in the name of love

Mimi naonekanaga napenda hela huwa swali langu la kwanza unafanya nini na unamipango gani maishani mwako japo wengi wanatoka nduki waniona mpenda pesa
 
mmh maybe...japo naamini kila mtu anachokinena mara nyingi kinakuwa kimeujaza moyo wake
pia refer your signature
Hizi ID zaficha mengi bi mkubwa, waweza kuta ni mpole ila mjanja juu ya keyboard tu!!!
 
Mimi naonekanaga napenda hela huwa swali langu la kwanza unafanya nini na unamipango gani maishani mwako japo wengi wanatoka nduki waniona mpenda pesa
Kazi ya mtu = pesa: mipango ya maisha=Pesa. Elimu=Pesa. Hivyo usijione unyonge ukiitwa mpenda pesa. Bila pesa hakuna maisha. Cha bure huwa ni hewa tu.
 
umeongea point nzuri sana hapo juu nilisema
weka key point za mtu umtakae hana MUACHE MARA MOJA usiaeme eti nitajifunza kupenda hell noo
Hahaaa..mafunzo ya utotoni ndio mafunzo yenye efficiency maridhawa, huku ushajua shida ni nini na stress zishakupractice unadhani utaelewa mafunzo ya kupenda? hii naifananisha na jail training, uko kifungoni unapewa mafunzo ya ujasiriamali............

Bora uweke standards zako, mtu hajaqualify unamwacha akatafute type yake.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom